mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,124
- 1,746
Night club(madisko ya usiku ya ndani) ilikuwa biashara nzuri na iliyovuma kwa muda mrefu miaka ya 90's hata miaka ya 2000, hata huko vijijini au wilayani kumbi za nyasi, mabwalo au kumbi za harusi ziligeuzwa sehemu za kupiga mziki siku za sikukuu au weekend
Kwa sasa muamko wa biashara hii umezolota sana tena sana mpaka wawekezaji waliokuwa wanafanya biashara hiyo wengine wameamua kufunga.
Mfano, Billcanas ilikuwa club kubwa kwa Tanzania nasema mm na ilikuwa kama mfano kwa club zingine kukopi maudhui ya club ile ila tangu ivunjwe nawengine kama wamesizi,
Club Continental, Masai, San Siro, na zingine nyingi zimekufa, Maisha club imeishiwa mvuto, ikachange ikawa maisha basement, the life club ila kama nikutapa tapa tu
Kule Mwanza club ambazo zinaonesha uhai kwa mbali ni Villa park(The village club), Club rockbottom(gold crest hotel), ila wengine wanafunga nakubadili majina, kama club 555, Club Galaxy zamani Fusion zamani saaana The stone, kule Isamilo kulikuwa na Club Lips ikafungwa wakaja Maisha Basement nao wakafunga, Rock N roll nayo kifo cha mende
TRabora kule kulikuwa na VOT Club, Bubbles night club, Four ways.. kwa sasa wanajoint mpya inaitwa Oxygen ni Bar ndio sehemu ya mziki na mtoko
Kifupi kwa sasa watu wanapenda open space kama beach yenye msosi na mziki mzuri, Bar yenye live band, Lounge ambayo ina djs, ila sio night club kwa sasa biashara hiyo ni ngumu
Vipi maeneo ulipo ni Club zipi zimefungwa kabisa..?
Kwa sasa muamko wa biashara hii umezolota sana tena sana mpaka wawekezaji waliokuwa wanafanya biashara hiyo wengine wameamua kufunga.
Mfano, Billcanas ilikuwa club kubwa kwa Tanzania nasema mm na ilikuwa kama mfano kwa club zingine kukopi maudhui ya club ile ila tangu ivunjwe nawengine kama wamesizi,
Club Continental, Masai, San Siro, na zingine nyingi zimekufa, Maisha club imeishiwa mvuto, ikachange ikawa maisha basement, the life club ila kama nikutapa tapa tu
Kule Mwanza club ambazo zinaonesha uhai kwa mbali ni Villa park(The village club), Club rockbottom(gold crest hotel), ila wengine wanafunga nakubadili majina, kama club 555, Club Galaxy zamani Fusion zamani saaana The stone, kule Isamilo kulikuwa na Club Lips ikafungwa wakaja Maisha Basement nao wakafunga, Rock N roll nayo kifo cha mende
TRabora kule kulikuwa na VOT Club, Bubbles night club, Four ways.. kwa sasa wanajoint mpya inaitwa Oxygen ni Bar ndio sehemu ya mziki na mtoko
Kifupi kwa sasa watu wanapenda open space kama beach yenye msosi na mziki mzuri, Bar yenye live band, Lounge ambayo ina djs, ila sio night club kwa sasa biashara hiyo ni ngumu
Vipi maeneo ulipo ni Club zipi zimefungwa kabisa..?