Kifo cha biashara ya Night Club

mayowela

JF-Expert Member
Nov 2, 2014
2,124
1,746
Night club(madisko ya usiku ya ndani) ilikuwa biashara nzuri na iliyovuma kwa muda mrefu miaka ya 90's hata miaka ya 2000, hata huko vijijini au wilayani kumbi za nyasi, mabwalo au kumbi za harusi ziligeuzwa sehemu za kupiga mziki siku za sikukuu au weekend

Kwa sasa muamko wa biashara hii umezolota sana tena sana mpaka wawekezaji waliokuwa wanafanya biashara hiyo wengine wameamua kufunga.

Mfano, Billcanas ilikuwa club kubwa kwa Tanzania nasema mm na ilikuwa kama mfano kwa club zingine kukopi maudhui ya club ile ila tangu ivunjwe nawengine kama wamesizi,

Club Continental, Masai, San Siro, na zingine nyingi zimekufa, Maisha club imeishiwa mvuto, ikachange ikawa maisha basement, the life club ila kama nikutapa tapa tu

Kule Mwanza club ambazo zinaonesha uhai kwa mbali ni Villa park(The village club), Club rockbottom(gold crest hotel), ila wengine wanafunga nakubadili majina, kama club 555, Club Galaxy zamani Fusion zamani saaana The stone, kule Isamilo kulikuwa na Club Lips ikafungwa wakaja Maisha Basement nao wakafunga, Rock N roll nayo kifo cha mende

TRabora kule kulikuwa na VOT Club, Bubbles night club, Four ways.. kwa sasa wanajoint mpya inaitwa Oxygen ni Bar ndio sehemu ya mziki na mtoko

Kifupi kwa sasa watu wanapenda open space kama beach yenye msosi na mziki mzuri, Bar yenye live band, Lounge ambayo ina djs, ila sio night club kwa sasa biashara hiyo ni ngumu

Vipi maeneo ulipo ni Club zipi zimefungwa kabisa..?
 
Tatizo ni ubunifu wa DJs wetu wengi hakuna. Watu wanaenda huko kwaajili ya burudani na mburudishaji mkuu ni DJ, sasa hao waburudishaji wenyewe hawana jipya zaidi ya kupiga hit songs tena hawapigi nyimbo zenyewe kwa ubunifu unategemea nini? Upigaji muziki siku hizi kila mtu ni DJ, upigaji umerahisishwa sana na teknolojia na kuondoa ubunifu hasa kwa DJs wavivu.

Ndio maana hizo club zenye watu wengi zinajaa wanafunzi hasa wa vyuo lakini wafanyakazi wenye vipato vyao huwezi kuwapata kirahisi bila kuwa mbunifu.

Siku hizi watu wa burudani wanaenda kwenye madisko ya old skool ambayo vijana wa kileo hawayawezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni ubunifu wa DJs wetu wengi hakuna. Watu wanaenda huko kwaajili ya burudani na mburudishaji mkuu ni DJ, sasa hao waburudishaji wenyewe hawana jipya zaidi ya kupiga hit songs tena hawapigi nyimbo zenyewe kwa ubunifu unategemea nini? Upigaji muziki siku hizi kila mtu ni DJ, upigaji umerahisishwa sana na teknolojia na kuondoa ubunifu hasa kwa DJs wavivu.

Ndio maana hizo club zenye watu wengi zinajaa wanafunzi hasa wa vyuo lakini wafanyakazi wenye vipato vyao huwezi kuwapata kirahisi bila kuwa mbunifu.

Siku hizi watu wa burudani wanaenda kwenye madisko ya old skool ambayo vijana wa kileo hawayawezi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama The LEGEND Club, pale panamzuka wake kutokana na taste ya mziki wa oldies na new era
 
siku hizi bar tu zina burudani nzuri kuliko night clubs.. na bar hakuna kiingilio..

mfano dar ukienda tips ambayo ni bar unaenjoy kuliko ukienda life club ambayo ni night club... na hapo tips ni bure huku life club kuna kiingilio...

watu wengi wanaamua kwenda hizo bar za kisasa kuburudika usiku kucha
 
siku hizi bar tu zina burudani nzuri kuliko night clubs.. na bar hakuna kiingilio..

mfano dar ukienda tips ambayo ni bar unaenjoy kuliko ukienda life club ambayo ni night club... na hapo tips ni bure huku life club kuna kiingilio...

watu wengi wanaamua kwenda hizo bar za kisasa kuburudika usiku kucha
hiyo ni shida kubwa, unaend athe life club unatoa 1000, na gharama ya vinywaji, wakati Tips unatoa 10000 unakunywa na unacheza nakuenjoy
 
Tatizo ni ubunifu wa DJs wetu wengi hakuna. Watu wanaenda huko kwaajili ya burudani na mburudishaji mkuu ni DJ, sasa hao waburudishaji wenyewe hawana jipya zaidi ya kupiga hit songs tena hawapigi nyimbo zenyewe kwa ubunifu unategemea nini? Upigaji muziki siku hizi kila mtu ni DJ, upigaji umerahisishwa sana na teknolojia na kuondoa ubunifu hasa kwa DJs wavivu.

Ndio maana hizo club zenye watu wengi zinajaa wanafunzi hasa wa vyuo lakini wafanyakazi wenye vipato vyao huwezi kuwapata kirahisi bila kuwa mbunifu.

Siku hizi watu wa burudani wanaenda kwenye madisko ya old skool ambayo vijana wa kileo hawayawezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi umeongea ukweli kabisa DJs wa leo ubunifu zero, yani unaenda club DJ anapiga nyimbo za kusikiliza radioni siyo club
 
Ubungo External kuna club zamani ilitwa Le Mambo ikaja ikaitwa Club 84. Sasa hivi imekufa.

Ila imeibuka London Lounge ipo External ina DJ music na mandhari nzuri na inajaza sana.

Pia ina club japo sijui kama ina wateja sana kama Lounge yake
 
Acha uongo,Mwanza hakuna kama Club Galaxy bro...kujaza kwake ni sawa na next door kwa dar au galaxy,silk,play kwa kampala...kwa taarifa yako villa hamna kitu

Hapo Galaxy panasua sua hakuna lolote, huu mwaka hauishi patafungwa, usiangalie kujaa kwa watu, je kunaleta faida kwenye biashara au ilimradi liende
compare hapo na sehemu za wazi kama The Cask, AVASH then njoo na jibu, Watu kwa sasa wanaenda huko zaidi kuliko Indoor
 
Back
Top Bottom