Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,257
- 34,205
Atalalaje mahali panapostahiki wakati alikufa akiwa amelewa? Au ulevi si dhambi?Mwenyezimungu ailaze roho ya marehemu mahali panapostahiki ameeeen.
Leo nimekuwa wa kwanza kuwahi siti ya mbele.
Anapostahili kwa maana alipojichagulia kwa matendo yake Duniani,yaani motoni au peponi!Wewe ndio kiswahili kimekua kigumuAtalalaje mahali panapostahiki wakati alikufa akiwa amelewa? Au ulevi si dhambi?
Anapostahili kwa maana alipojichagulia kwa matendo yake Duniani,yaani motoni au peponi!Wewe ndio kiswahili kimekua kigumu
Sasa si angetoka nje tu akae sehemu iliyotulia kuliko chooni,atakuwa alirogwaNa ndio maana kama ulinisoma tangia awali nilisema kuwa aidha alifanya siri ya kuaibika kudondoka mbele za watu ndio maana akaenda msalani.
Na mama yake mzazi alisema tangu asubuhi siku ya harusi yake, mwanae hakuwa na raha, mama alijua kwanini ila mtoto kwa kuepuka kufedheheka ndio maana alikimbilia msalani.
Alijua kinachotaka tokea
Una kazi engineer?Aisee likud unanikumbusha mbali wakati huo nilikuwa hapo nikichukua theory ya bachelor chemical engineer
Aliyemgonga alikamatwa?Those were the days.Yule mshkaji kifo chake kiliumiza watu wengi sana.
Anyways enzi za Daruso Bar walevi walikuwa wana nguvu sana kwenye mambo ya siasa na harakati za chuo.
Yani ilikuwa walevi wakikukubali tu basi umekubalika chuo kizima
Mkuu matendo hayakupeleki Bali imaniAnapostahili kwa maana alipojichagulia kwa matendo yake Duniani,yaani motoni au peponi!Wewe ndio kiswahili kimekua kigumu
Wanazengo kwa kuhitimisha stori.Sasa si angetoka nje tu akae sehemu iliyotulia kuliko chooni,atakuwa alirogwa
Halafu saivi unaogesha farasi na kufagia mabanda ya farasi huko kopenihageni! πππAisee likud unanikumbusha mbali wakati huo nilikuwa hapo nikichukua theory ya bachelor chemical engineer
Nilikaanae block c mabibo tukiwa mwaka wa mwisho pamoja na akina culture na marehemu Njau, Njau yy alipata ajar Dom, zn baada ya muda sio mrefu Baby lawyer nae akapata ajari. Shukran sana kwa kumkumbuka hyu jamaaUmenikumbusha mbali sana aisee, nimekaa na huyo jamaa block c mwaka 2010, alikuwa analewa sana sana na akilewa anaingia room yoyote anaomba kulala
Kuna mwenzake mmoja tulikuwa tunamuita doctor jina lake halisi ni elvis chembangula.
R.I.P Baby lawyer, ila kiukweli alikuwa ni mlevi kupita kiasi yaani kupita kiasi alafu alikuwa hali kabisa