Per Diem
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 2,191
- 3,711
Umenikumbusha mbali sana aisee, nimekaa na huyo jamaa block c mwaka 2010, alikuwa analewa sana sana na akilewa anaingia room yoyote anaomba kulala
Kuna mwenzake mmoja tulikuwa tunamuita doctor jina lake halisi ni elvis chembangula.
R.I.P Baby lawyer, ila kiukweli alikuwa ni mlevi kupita kiasi yaani kupita kiasi alafu alikuwa hali kabisa
Kuna mwenzake mmoja tulikuwa tunamuita doctor jina lake halisi ni elvis chembangula.
R.I.P Baby lawyer, ila kiukweli alikuwa ni mlevi kupita kiasi yaani kupita kiasi alafu alikuwa hali kabisa