Kifo cha Baby Lawyer wa UDSM mwaka 2011

Na ndio maana kama ulinisoma tangia awali nilisema kuwa aidha alifanya siri ya kuaibika kudondoka mbele za watu ndio maana akaenda msalani.
Na mama yake mzazi alisema tangu asubuhi siku ya harusi yake, mwanae hakuwa na raha, mama alijua kwanini ila mtoto kwa kuepuka kufedheheka ndio maana alikimbilia msalani.
Alijua kinachotaka tokea
Story yako imenisikitisha sana...
 
Ujanja mwingi mbele kiza! Vijana wa aina hii pale UDSM walikuwa wengi sanaa kupata umaarufu sababu ya Ulevi na mambo ya kijinga. Wengi wao ni Ulimbukeni na kutojitambua. Kifo cha kugongwa na Gari ukiwa umelewa ni Kifo cha Kizembe kisichohitaji chembe ya huruma kwa Mhusika bali kwa nduguze.
 
Duuu hatari sana ila zamani kaka yangu alikuwa anaanguka kifafa alipewa dawa na mzee mmoja akapona paka leo sijui yule mzee yupo wapi
Dah ana bahati sana huyo ndugu yako.
Uko vijijini au baadhi ya wazee wanajua dawa sema ndio watu hawatembei.
Na siku hizi matapeli kibao.

Anakupa dawa na wala haitibu
 
Story yako imenisikitisha sana...
Yeah ndio hivo.
Tulimkosa Joyce kiutani utani tu.
Sasa ajabu, mumewe alipoulizwa kama anajua mkewe alikuwa anaanguka kifafa....akasema hajawahi muona hata siku moja, ila ndugu zake mwanamke mpaka wazazi wake wanajua kuwa mtoto wao ana tatizo hilo.
Ina maana mwanamke alifanya siri...matokeo yake ndio hivo.
 
Dah ana bahati sana huyo ndugu yako.
Uko vijijini au baadhi ya wazee wanajua dawa sema ndio watu hawatembei.
Na siku hizi matapeli kibao.

Anakupa dawa na wala haitibu
Wazee wazamani walikuwa wanajua dawa sana dawa ukiungua ata na moto gani jera linapona na alama inapotezwa kabisa una baki na ngozi yako ya kawaida dawa ya kuunga mfupa bila kwenda hospital
 
Wazee wazamani walikuwa wanajua dawa sana dawa ukiungua ata na moto gani jera linapona na alama inapotezwa kabisa una baki na ngozi yako ya kawaida dawa ya kuunga mfupa bila kwenda hospital
Yeah.
Inabidi tu turudi nyumbani kutambikia mizimu ya mababu zetu
 
Kifafa sidhani kama kina siku maalum ya kutokea ndugu yangu

Hata kama kamueleza mumewe bado isingekuwa sababu ya yeye kutokuanguka siku ya harusi .

Ndio maisha na yote hayo tuliumbiwa wanadamu ,kikubwa tuandae safari yetu ili ikimpendeza Mungu tukaione Paradiso.
kifafa kina siku maalum mkuu nakumbuka jamaa yangu nlikuwa nae Jkt ikifika muda lazima ataenda kulala ili ile hali imkute kitandani,ni kumuomba Mungu tu atuepushe na haya majanga
 
Sijajua maana mimi sio mtaalamu sana, ila muanguka kifafa nadhani anafahamu siku/tarehe ya kuanguka.
Ndio maana wakati nikiwa mwalimu, ilikuwa kuna ruhusa za wanafunzi kama 3 kupumzika nyumbani kila ifikapo tarehe fulani kutokana na tatizo la kuanguka kifafa.

All in all.., ni vema kujiandalia makao mapema kwa kufanya yale yampendezayo Mungu na mwanadamu
The Mwezi mchanga
 
Hakuna kifo kilichoniuma kama kile cha rafiki yangu.
Ilikuwa hivi:
Siku ya harusi yake alikuwa amekaa pale mbele na mumewe wanasherehekea ndoa yao.
Ghafla bibi harusi akabanwa na haja, akatoka na matron kwenda kukojoa.
Kufika msalani, bibi harusi akamwambia matron amsubiri nje.
Bibi harusi kuingia msalani, ndo ikawa nitolee...hakutoka mpaka matron alipousukuma mlango na kumkuta akiwa ameanguka chini na amefariki.

Tukaja kutangaziwa ukumbuni, harusi imekufa...haipo tena.
Maiti ikapitishwa, ikatolewa nje.
Baadae nikaja sikia bibi harusi alikuwa na kifafa.
Sasa nahisi kuepuka aibu ya kuanguka ukumbini mbele za watu, akaona heri akaangukie chooni.
Kumbe ndio anaenda moja kwa moja

Kifo ni popote aisee.
K



Inauma sana!
 
Kwa mliopitaga Udsm miaka ya 2005/2006 hadi around 2010/2011 na ambao mlikuwa MNA hang out na kundi la walevi wa ud kama kina Sajo wa daz nundaz, yule mzungu wa kuitwa Afande Jesus et al, mtakuwa mnamkumbuka jamaa wa kuitwa Baby Lawyer.

Sikuwahi kumjua jina lake halisi na nadhani alipewa jina Baby Lawyer kwa sababu alikuwa Law student pekee aliekuwa ana hang out na kampani hiyo.

Jamaa alikuwa MTU wa Mbeya na alijulikana sana kwa uwezo wake mkubwa wa kuchomoa vimeo.
Inasemekana kila mwka alikuwa anapata vimeo na vyote alikuwa anavichomoa.
Alihitimu Llb somewhere in 2010 kama sikosei and after that akaendelea na law school wakati huo wanasomea majengo ya udsm.

Wakati anasoma Law School alikuwa anaishi Mabibo Hostel kuna mlevi mwenzake ambae bado alikuwa undergraduate alikuwa amembeba pale.

Matokea yalivyotoka inasemekana jamaa alikuwa ama amefaulu first sitting au amepata vimeo vichache

Kwa sababu ya furaha ya kufaulu vizuri @ law school Baby Lawyer alienda kupiga mtungi.

Wakati anarudi hostel aligongwa na gari mitaa ya Mabibo Hostel na kupoteza maisha yake papo hapo.

Na huo ndio ukawa mwisho wa Babylawyer
File closed, dismiss!!
 
R.I.P Baby Lawyer...mwana tumekiwasha sana block G na cafeteria...nimeshangaa kwa furaha kuona thread yake humu...ila maisha ya pombe dah...ni Mungu tu anawalindaga tu walevi kwasababu wengine ni stress za dunia tu...kuna hang over zingine kifo unakiona hiki hapa...nashukuru niliachaga kabisa
 
Back
Top Bottom