Kifo cha Baby Lawyer wa UDSM mwaka 2011

Na ndio maana kama ulinisoma tangia awali nilisema kuwa aidha alifanya siri ya kuaibika kudondoka mbele za watu ndio maana akaenda msalani.
Na mama yake mzazi alisema tangu asubuhi siku ya harusi yake, mwanae hakuwa na raha, mama alijua kwanini ila mtoto kwa kuepuka kufedheheka ndio maana alikimbilia msalani.
Alijua kinachotaka tokea
Sasa si angetoka nje tu akae sehemu iliyotulia kuliko chooni,atakuwa alirogwa
 
Those were the days.Yule mshkaji kifo chake kiliumiza watu wengi sana.

Anyways enzi za Daruso Bar walevi walikuwa wana nguvu sana kwenye mambo ya siasa na harakati za chuo.

Yani ilikuwa walevi wakikukubali tu basi umekubalika chuo kizima
Aliyemgonga alikamatwa?
 
wakati mwingine ulevi raha sana, nakumbuka kuna jamaa yangu alilewa sana tukambeba mpaka home kwao.

Kumuona mama yake akamsalimia kwa adabu zote, kufika kwa mzee wake anamuuliza mama yale kwamba ' hii sura ya huyu mzee si ngeni, nimewahi muona sehemu" maza ni kusikitika tu.

sitasahau mchizi wangu akilewa yeye analala chini ya uvungu kutafuta ka ubaridi kupunguza pombe.
 
Umenikumbusha mbali sana aisee, nimekaa na huyo jamaa block c mwaka 2010, alikuwa analewa sana sana na akilewa anaingia room yoyote anaomba kulala
Kuna mwenzake mmoja tulikuwa tunamuita doctor jina lake halisi ni elvis chembangula.
R.I.P Baby lawyer, ila kiukweli alikuwa ni mlevi kupita kiasi yaani kupita kiasi alafu alikuwa hali kabisa
Nilikaanae block c mabibo tukiwa mwaka wa mwisho pamoja na akina culture na marehemu Njau, Njau yy alipata ajar Dom, zn baada ya muda sio mrefu Baby lawyer nae akapata ajari. Shukran sana kwa kumkumbuka hyu jamaa
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom