Kifo cha Ayatollah kimeniuma sana

Kifo cha Ayatollah kimeniuma sana

secretarybird

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
15,187
Reaction score
28,244
R.I.P my brother Ayatollah,

Baada ya Osama Bin Laden na Saddam Hussein kuuawa mtu pekee ambaye nilikuwa namhusudu alikuwa Ayatollah.

Baada ya kusikia kifo Cha Ayatollah nimepoteza nililia sana Kwa sababu sioni kama Kuna mtu atavaa viatu vyake.

Akitokea mtu wa kuvaa viatu vya Ayatollah/Osama bin Laden/Saddam Hussein au Hitler n.k., nitafurahi sana maana mimi napenda sana kuona dunia ikitingishwa na wababe.

Nikiona hajatokea yeyote mtingidha Dunia basi secretarybird naingia navaa viatu vya Ayatollah ama mmoja ya wababe niliowataja hapo juu.

Nataka mniombee 😎.
 
image-6.jpg
 
Hao kobazi ni wachumba tu ache Babu Trump awashike Kalio

Wababe wenye akili ni Vladimir Putin na Kim
Nilikuwa namuona babu Trump kama dada zetu wa mlandizi maneno mengi hata kwenda kumsuta mwenzao waoga kumbe sio kweli ni mwamba haswa.
Sasa hivi namhusudu sana na ikitokea mtu yeyote akawa ananiita Trump nitampa nafasi ya kuwa mwanangu wa nguvu sana
 
Sasa kule kaka kama sio ndugu yetu katika imani hauwezi kuaminika .

Ilibaki kidogo sana niwe member ila shida siku ya safari nikalewa nikaachwq kaka ,kwahiyo unaweza kuona ni namna gani unazungumza na mbabe mwenzio
Kweli kaka, lakini maajabu yanaweza yakatokea hadi wakakubali nijiunge nao.

Maajabu yenyewe yanaweza kuletwa na nyeto brother.
 
R.I.P my brother Ayatollah,

Baada ya Osama Bin Laden na Saddam Hussein kuuawa mtu pekee ambaye nilikuwa namhusudu alikuwa Ayatollah.

Baada ya kusikia kifo Cha Ayatollah nimepoteza nililia sana Kwa sababu sioni kama Kuna mtu atavaa viatu vyake.

Akitokea mtu wa kuvaa viatu vya Ayatollah/ Osama Bin Laden/ Saddam Hussein au Hitler n.k nitafurahi sana maana Mimi napenda.sana kuona Dunia ikitingishwa na wababe.

Nikiona hajatokea yeyote mtingidha Dunia basi secretarybird naingia navaa viatu vya Ayatollah ama mmoja ya wababe niliowataja hapo juu.

Nataka mniombee 😎.
 
Back
Top Bottom