Vipi Gaddafi haingii hapo?Akitokea mtu wa kuvaa viatu vya Ayatollah/Osama bin Laden/Saddam Hussein au Hitler n.k.,
Hana makeke sana kama wenzake niliowataja, japo pia namkubali.Vipi Gaddafi haingii hapo?
Yule wa kwa kina Aziz ki vipi?Hana makeke sana kama wenzake niliowataja, japo pia namkubali.
Yule ni mbabe kwa wananchi wake tu.Yule wa kwa kina Aziz ki vipi?
Kumbe!Yule ni mbabe kwa wananchi wake tu.
daahHao kobazi ni wachumba tu ache Babu Trump awashike Kalio
Wababe wenye akili ni Vladimir Putin na Kim
Kwa nini kimekuuma?Yani kifo cha Ayatollah Khamenei kimeniuma natamani hata wampitishe Tanzania tuage mwili.
Kumamake wallah
Ndiyo.Kumbe!
Sana, na ndicho nilichompendea.Jamaa ana misimamo ya kiume sana , na hivyo ndivyo mwanaume anapaswa awe👏👏👏
Ayatollah secretarybird of Tanganyika.Ayatollah ni cheo na sio mtu
Napenda kiongozi anayejiimarisha kivita na kuweka heshima ya kiuongozi kuanzia Ngazi ya juu mpaka chini, kitu ambacho kwa sehemu amekifanya vyema japokuwa sio kwa usahihi wote.Kwa nini kimekuuma?
Umeongea vizuri sana mkuu 👏.Napenda kiongozi anayejiimarisha kivita na kuweka heshima ya kiuongozi kuanzia Ngazi ya juu mpaka chini, kitu ambacho kwa sehemu amekifanya vyema japokuwa sio kwa usahihi wote.
Pia kingine aliweza kutumia rasilimali za Iran kufaidisha Iran....pamoja na vikwazo vyote ila ni miongon mwa taifa linalopewa uzito ndomaana unaona israel na marekank wote wameungana ili kumpiga ila bado haijawa rahisi kwao.
Kama unahisi ni kitu cha kawaida marekani na israel kuvamia basi fikiria ikitokea wamevamia afrika unafikir watachukua muda gani kuweka nchi zote chini yao ?
pamoja mkuuUmeongea vizuri sana mkuu 👏.
Hii comment inasikitisha mno.Upuuzi mtupu, km October huku toka utaweza sasa ?
Tizama picha ayatollah akipokelewa huko aendako na mwenyeji wake Hussain Ali akiutetea 🥺 cc Busu la Kenge