baba bora
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,500
- 1,093
Barikiwa MkuuMauaji ya Mawazo ni uthibitisho wa uwepo wa fikra na vitendo vya kijima.
Mbaya sana. Katika jamii iliyostaarabika vitendo kama hivyo havipo, na ikitokea kuna waovu wa kisiasa, watatumia mbinu za kiutu.