bin ladeni
Member
- Aug 13, 2013
- 56
- 13
Ebu mwacheni mzee wa watu apumzike panapomstahili kama peponi basi ale raha zake na kama jehanamu basi aungue sawa sawa sisi hayatuhusu. Tufanye yetu ya Nyerere hayatuhusu
Yalikuwa mazungumzo baada ya habari na shabban kisu au tumbo risasi....
Asante sana, nitaenda kutembelea huko makumbusho Butiama
Thibitisha kama ni kweli ile fimbo haikuwa mpingo ila jini