kifahamu Kitengo No.731 huko Japan.

kifahamu Kitengo No.731 huko Japan.

Tunaisubiri mkuu...zinatufundishq kuwa sisi ni wapitaji hao na kuua kote huko na wao hawapo wamebakia historia
Kabisa ni kama mamlaka na vyeo vinawapofusha fikra zao.
 
Hatari sana. Hivi hapa kwetu hatujawahi fanya tafiti za kibabe?
 
Sobibor.. Hakika mambo yalikuwa yanatisha sana kwenye hizo kambi za mateso. Wajerumani walifanya kufuru za aina zote kwenye hizi kambi huko ulaya.. hata huyu dr niliyemwelezea hapa aliyoyafanya ni cha mtoto. Ngoja tu nikipata wasaha na uzima nikikamilisha nita share humu. Ni ndefu sana.
Unamzungumzia Dr Mengele aka Death Angel sio yule mnazi alikua mshenzi kweli kweli nae
 
Hii imekaa vzr MNO.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Ukatili wa hali ya juu aisee..
Tushkukuru Mungu tumezaliwa kipindi dunia imestaarabika na huu utandawazi...mashirika ya kimataifa y kutetea haki za binadamu nayo pia yanasaidia
Hello Palestine,Gaza
 
Yamesaidia pakubwa ... kuna stori nitaipandisha humu siku si nyingi nikimaliza kuikamilisha kwa yale yaliyokuwa yakiendelea Ujerumani chini ya utawala wa Nazi dhidi ya wafungwa wa kivita . Hakika acha tu haya mashirika y kutetea haki za kibinadamu yawepo tu.
Anachofanya Israel kina tofauti gani na wajapan na wajerumani ?
 
Nimegundua kumbe zamani kulikua na ukatili wa hali juu...na depopulation kubwa ilitokea kwny mauaji...na si vinginevyo....mfano vita...mauaji ya watu kama hivyo ya watu binafsi kama huyo daktari na jopo lake.....
Au anatokea tuu kiongozi katili yeye ni kuua tuu...yani ukienda kinyume na mambo yake ni kifo....mfano Hilter...Idd Amin...na wengine wengi ...
Netanyahu anaua leo sio ni hii hii 2025 hakuna kilicho badilika watu ni wale wale
 
Ukatili wa hali ya juu aisee..
Tushkukuru Mungu tumezaliwa kipindi dunia imestaarabika na huu utandawazi...mashirika ya kimataifa y kutetea haki za binadamu nayo pia yanasaidia
Macho bluu hawajaamua kukubadilikia hakuna organization's yy inayoweza kukutetea
 
Back
Top Bottom