Kifaa Cha kuzuia Utekaji

Kifaa Cha kuzuia Utekaji

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
33,623
Reaction score
40,171
Screenshot_20250412-223935.jpg
 
Samsung walikuwa nayo hiyo unaset tu matumizi ya power button ukibonyeza mara 2 au tatu mfululizo inapiga picha ya siri bila mlio inaambatanisha location na kutuma kwenye contact uliyochagua.
 
Samsung walikuwa nayo hiyo unaset tu matumizi ya power button ukibonyeza mara 2 au tatu mfululizo inapiga picha ya siri bila mlio inaambatanisha location na kutuma kwenye contact uliyochagua.
Hizi simu zina mambo mengi tu sema wangekuwa wanatuwekea mannual ya kutuelekeza tungejuwa vingi.
 
Hizi simu zina mambo mengi tu sema wangekuwa wanatuwekea mannual ya kutuelekeza tungejuwa vingi.
Kuna vitu kwenye simu unaweza kununua mpaka unauza hujavititumia kabisa.
Kama hiyo feature inakuwezesha angalau ukitekwa wahusika watajua mara ya mwisho ulikuwa wapi kwa kuonesha picha ya eneo hilo.
 
Kuna vitu kwenye simu unaweza kununua mpaka unauza hujavititumia kabisa.
Kama hiyo feature inakuwezesha angalau ukitekwa wahusika watajua mara ya mwisho ulikuwa wapi kwa kuonesha picha ya eneo hilo.
Sana tu kiongozi, bora hata hawa jamaa kwenye FB na Tiktok wamekuwa wakitujuza application za hapa na pale tunabaki tunashangaa na simu tunazo miaka nenda rudi.
 
Back
Top Bottom