Kifaa cha kutambua mabomu (made in Tanzania)

Kifaa cha kutambua mabomu (made in Tanzania)

good work brother keep it up! usife moyo na maneno ya kukatisha tamaa songa mbele, kumbuka watu hao unakutana nao barabarani hawajui destiny yako hivyo wasikufanye ukakatisha safari yako. Ila pia wanakusaidia kuchalenge innovation yako which is a good thing!
 
Hongera sana Transistor,
Hivi ndio vitu tunapenda kuona na kusikia. Jitahidi uendeleze ubunifu, kutoa darasa kwa sisi wengine tusio na utaalamu wa kielektroniki na pia kulinda kazi zako kwa hati miliki.
 
Hongera sana...

Bahati nzuri au mbaya upo katika nchi isiyojali sana wavumbuzi na wagunduzi wa mifumo na teknolijia mbalimbali...

Lakini hili haliwezi kuwa kikwazo endapo tu utaboresha kile unachokifanya na kukigeuza kuwa suala la kibiashara...

Pia usione vibaya kuiga designs za wale waliotutangulia kiteknologia haswa kwenye suala la kuzifanya models zako ziwe simplified zaidi...

Usisite kuonesha kazi zako kwa watu ili ukosolewe na kwa namna hii utaziboresha zaidi, kila la kheri mkuu!!!

NOTE:
Kuna kitu kimoja nilikuwa nataka kujua toka kwako, hivi hizi components za kieletroniki kama resista, tansista, dayodi, OPAMP n.k huwa zinapatikana wapi kwa Dar es Salaam ikiwa mtu anataka kununua?

Na vipi kuhusu circuit boards za tests (zile ambazo huwa na vitundu kama sega la asali la nyuki) pia zipo madukani?

Round-about ya kariakoo kama unaenda mtaa wa uhuru mkono wako wa kulia kuna maduka kibao pale ya vifaa hivi!
 
Round-about ya kariakoo kama unaenda mtaa wa uhuru mkono wako wa kulia kuna maduka kibao pale ya vifaa hivi!

Huo mduara unaoutaja ni makutanao ya barabara mbili, Msimbazi na Uhuru...

Sasa hebu nielekeze kwa uzuri 'kama unaenda mtaa wa Uhuru' ukiwa umetokea upande upi? upande wa Gerezani/Kamata au ukiwa watokea Fire?

Au maduka unayoyataja ni yale yenye kuuza vifaa vya muziki na vifaa vya kielektoniki vinginevyo?
 
Huo mduara unaoutaja ni makutanao ya barabara mbili, Msimbazi na Uhuru...

Sasa hebu nielekeze kwa uzuri 'kama unaenda mtaa wa Uhuru' ukiwa umetokea upande upi? upande wa Gerezani/Kamata au ukiwa watokea Fire?

Au maduka unayoyataja ni yale yenye kuuza vifaa vya muziki na vifaa vya kielektoniki vinginevyo?


karia.jpg

Maeneo ya hapo kwenye red kuna maduka kibao ya parts za electronics!
 
Hakuna jinsi unayoweza kufanya kazi na kampuni fulani ilin ubunifu wako ukafanyiwa mass production??
 
Wazo zuri thanks!
Au ukaunda joint vventure na vijana wenzio mnajikusanya nguvu tena wengine unawafundisha itakuwa better ni vema wazo alilo litoa mkuu lakini ukitaka kutunza legacy na heshima yako hebu panga wewe ndo uwe na kiwanda hata kama utaanza na chumba chako trust me sometimes hizi company kubwa zinakutumia afu zinakuja kuku dump kama takataka once wakiku exploit basi hata heshima yako juu ya uvumbuzi wako itatupwa. Watu wengi hatuna uthubutu wa kusema tutasimama wenyewe. Achana na serikali achana na makampuni simama wewe kama wewe kutetea kichwa chako. Umeweza kufanya jambo ambalo mabilioni hatuwezi sasa uje ushindwa kuzalisha vitu hivyo kwa wingi. Mkuu nakushauri wakomboe vijana wenzio
 
kaka umeshawahi kutegua bomu lolote? au kwa sababu ni iron detector basi ndio iweze kudetect bomu?

sababu ili tuconclude kwamba kinatambua hayo mabomu inabidi atleast kuwekwe mabomu 100 tofauti tofauti kipite then kitambue mabomu kadhaa ili tujue aina gani ya mabomu kinadetect na accuracy yake ni asilimia ngapi.

anyway nice try
 
Kwanza usiseme niko nyuma,sema tuko nyuma kwasababu mimi ni mtanzania na wewe ni mtanzania

Pili naona hujui vizuri kuhusu ufanyaji kazi wa saketi hii!

Naomba nikuulize maswali yafuatayo

1.Je Simu inauwezo wa kutambua kama mlango uko wazi na ikajituma sms yenyewe?

2.Je Simu inauwezo wa kugundua kizuizi kinasogelea mlango wako na kutoa taarifa.

3.Je simu ina uwezo wa kutambua uwepo wa bomu na kujituma ujumbe?

4.Je simu ina uwezo wa kutambua mtu anapo gusa gari lako au kitasa cha nyumba yako na kujituma ujumbe?

Sakiti hii ndiyo yenye uwezo wa kutambua aina ya tukio na kuiamrisha simu itume ujumbe.

Hivyo simu hapo imetumika kama medium of communication na siyo detector!

Hata bila simu sakiti hiyo inaweza kufanya kazi kama kawaida kwa kutoa taarifa kwa njia ya sauti n.k

Tumeweka simu ili hata yule alie mbali aweze kupata taarifa ya tukio linapo tokea.

Vifaa vingi vinavyo tumia mfumo huu wa kutoa taarifa kwa njia ya sms zinakuwa na mfumo wa simu ndani yake lakini sema tu umbile lake linakuwa sio kama simu unayo shika mkononi.Hivyo hayta kifaa hicho cha mzungu kinacho fanya kazi kama hii kinamfumo wa simu ndani yake na kinatumia SIM CARD kama kawaida.

Kwa kuwa mfumo huo wa simu na saketi ya detector unakuwa katika package moja.Ndio maana unatakiwa uweke SIM CARD upate mawasiliano kokote utakapo kuwa pale detector itakapotambua tukio la kutolea taarifa.

Mzungu kwa kuwa hufungia vitu vyake ndani ndo mana hua hujui nini na nini kipo ndani.

Simu kama simu huhitaji second part kuiendesha ikikaa peke yake haita fanya chochote;hivyo mfumo huu wa saketi yangu licha ya kuwa ni detector vilevile ni robotic circuit inayo chapa sms na kuituma.

Ubunifu sio jambo dogo hata hicho nilicho kifanya mimi chapaswa kupewa japo a single like!

Nakukaribisha katika ubunifu;sio lazima wa electronics wowote ule nahisi ukiingia ngomani utajua kwa nini hadi leo we are still being buyers of technology and not producers!



Dah nimeumia sana kuisoma post hii, kiukweli umetumia muda mwingi sana kumwelewesha kiziwi kwa sauti,

Muda huo nina hakika ungekuwa unagundua jambo jingine zuri zaidi,
Transistor huhitaji watanzania milioni 40 kuikibali kazi yako ndipo isonge mbele, badala yake watanzania mia moja tu wanatosha kukufikisha popote utakapo (sky isnt a limit anymore)

keep it up brother we are behind u!
 
kaka umeshawahi kutegua bomu lolote? au kwa sababu ni iron detector basi ndio iweze kudetect bomu?

sababu ili tuconclude kwamba kinatambua hayo mabomu inabidi atleast kuwekwe mabomu 100 tofauti tofauti kipite then kitambue mabomu kadhaa ili tujue aina gani ya mabomu kinadetect na accuracy yake ni asilimia ngapi.

anyway nice try

Umeninukuu vibaya mkuu labda uniambie wapi nimeandika nategua mabomu?
 
Au ukaunda joint vventure na vijana wenzio mnajikusanya nguvu tena wengine unawafundisha itakuwa better ni vema wazo alilo litoa mkuu lakini ukitaka kutunza legacy na heshima yako hebu panga wewe ndo uwe na kiwanda hata kama utaanza na chumba chako trust me sometimes hizi company kubwa zinakutumia afu zinakuja kuku dump kama takataka once wakiku exploit basi hata heshima yako juu ya uvumbuzi wako itatupwa. Watu wengi hatuna uthubutu wa kusema tutasimama wenyewe. Achana na serikali achana na makampuni simama wewe kama wewe kutetea kichwa chako. Umeweza kufanya jambo ambalo mabilioni hatuwezi sasa uje ushindwa kuzalisha vitu hivyo kwa wingi. Mkuu nakushauri wakomboe vijana wenzio

Nafurahi kuona unanipa mawazo chanya mkuu.

Mimi natamani sana kuona napata wafuasi katika aina hii ya elecronics(kuunda kitu chako na sio ufundi wa kurekebisha vitu vilivyotengenezwa na wenzetu).

Tatizo watu wanaona designing ya electronics ni kitu kigumu sana kujifunza,kumbe hawajui ni kitu kinacho wezekana endapo tuu unapata ufaham wa kanuni na sheria za electronics.

Tena ni kazi rahisi kuliko kuwa fundi wa TV au RADIO.Kwani ukiwa designer hata kitu chako kikiharibika kwakuwa unakijua vizuri utakirekebisha kiurahisi kuliko ambavyo TV ikiharibika kwani aliyebuni mchoro wa TV hiyo sio wewe hivyo hata urekebishaji wake unakuwa mgumu.

Mi nadhani vijana wa kielectronics wajue raha ya kuwa ma-designer;kwani wengi kwa sasa wamekuwa wanaunda vitu kwa michoro (layouts) za kukariri kama vile Inverters na amplifere.Wengi hawajui namna ya kubuni michoro yao na hilo ndio tatizo linapo anzia.

Kwa sasa mtu akikuona unasuka circuit kwenye board moja kwa moja atakuuliza "unasuka jnverter?" au "Unasuka amplifere?" ukimjibu hapana atakushangaa sasa unafanya nini?

Minadhani vijana wenzangu wakubali kuana kuwaza zaidi ya inverter na amplifere,tutizame matatizo ya jamii na kuona namnagani tutayatatua kupitia elecronics.

Kwa sasa nimefanya design nyingi kidogo na uzuri unavyo buni kitu chako na kikaonekana kuifaa jamii mara nyingi utapata kipato,na pia utajihakikishia uhakika wa ajira kwani kikiharibika hakuna mtu mwingine atakaye weza kukirekebisha ila ni wewe pekee.

Mimi nawakaribisha wanaotaka kujifunza designing za electronics waje pale napo fundishia au wanaweza kuwafundisha theory online na tukawa tunakutana siku za pactical tu.

Pia wanaweza kuwa wanatembelea blog yangu HAPA kujifunza mambo mbalimbali ya electronics.

Pia hua nafanya workshop(semina) ya kiufundi kwa ajiri ya kutoa mafudisho kwa vijana wa electronics hua tunajifunza na kudesign vitu mbalimbali practically.Semina ya kwanzailifanyika June safari hii itaanza September 13,itakuwa inafanyka siku za weekend tu kwa muda wa siku sita.Hivyo kwa wale watakao penda kuhudhuria semina hiyo wajiandikishe mapema ili wapewe Designs zitakazo fanyika siku hizo waanze kujiandaa yeyote yule anakaribishwa chamsingi awe anajua kusoma na kuandika.
 
Kazu nzuri sana ila ma haterz ndo ajira yetu ww kausha fanya kazi
 
Hongera kwa hatua uliyoifanya so far. Nadhani jina zuri ni Iron detector/metal detector. Na kwa sababu mabomu yana metal so naturally itaweza kuyatambua.

Umetumia mionzi ya aina gani kwa ajili ya scanning? Infra-red, laser or what? na Penetration power yake ikoje? mfano mtu amefunga bomu ndani ya asbestos au kitu kingine ambacho ni kigumu?

Pili ningekushauri utafute matatizo madogo lakini common, uyapatie suluhisho, hapo ndipo utauza. System kama hizi zina soko maeneo kama JWTZ, Polisi, na TISS na sina hakika kama wako interested (Itakuwa vyema kama wakiwa). Shin Bet (my fav) na Intelligence zote maarufu wana vitengo vya Technolojia, sina hakika kwetu kama kipo.

Pili fikiria kutengeneza system ambazo zinaweza kuinteract na computer programs kwa ajili ya kuongeza intelligence na situation analysis.

Kama utahitaji consultation, nitakupa kwa free, in my "free" time.
Keep going...!
 
Hongera kwa hatua uliyoifanya so far. Nadhani jina zuri ni Iron detector/metal detector. Na kwa sababu mabomu yana metal so naturally itaweza kuyatambua.

Umetumia mionzi ya aina gani kwa ajili ya scanning? Infra-red, laser or what? na Penetration power yake ikoje? mfano mtu amefunga bomu ndani ya asbestos au kitu kingine ambacho ni kigumu?

Pili ningekushauri utafute matatizo madogo lakini common, uyapatie suluhisho, hapo ndipo utauza. System kama hizi zina soko maeneo kama JWTZ, Polisi, na TISS na sina hakika kama wako interested (Itakuwa vyema kama wakiwa). Shin Bet (my fav) na Intelligence zote maarufu wana vitengo vya Technolojia, sina hakika kwetu kama kipo.

Pili fikiria kutengeneza system ambazo zinaweza kuinteract na computer programs kwa ajili ya kuongeza intelligence na situation analysis.

Kama utahitaji consultation, nitakupa kwa free, in my "free" time.
Keep going...!

Yes it is metal detector,kama ukiifunga metal sensor it will be nuclear detector kama ukifunga nuclear sensor (sensors nyingi zinauzwa kama parts tu za electronic) hii card inapokea sensor za aina yeyote zilizo undwa ku-detect vitu mbalimbali kwa mfumo wa electronics.

Labda kwa faida ya wengine ni kwamba unavyozungumzia detector ni kifaa kinacho tambua signal flani za kielectronic hivyo lazima detector hii iwe "embedded" na sensor sasa hizi sensor zimetofautiana kuna sensor za kudetect mvua,joto,upepo,oxygen,carbon,metal,smoke,obstacles n.k

Mfano wa sensor ni huu hapa;-
200906212213.jpg

kazi ya detector ni kutafsiri mawimbi ya kielectronics yanayozalishwa na sensor na kuyafanyia maamuzi kulingana na decoder hiyo ilivyo undwa!

Uwezo wa detector kutambua ishara za sensor inategemeana na signal amplification ya detector.

Detector yangu nimeifanya imekuwa sensitive sana kiasi cha "β(hFE)= 1000"! sawa na uwiano wa β= 1000/1.Bila shaka umejua how sensitive it is.

Hivyo detector yangu itakuwa ni detector ya bomu aina gani nadhani itategemeana na sensor utakayofunga.

Swala la ku-cooparate kati ya computer na design zangu is the best idea,Thanks.
 
Back
Top Bottom