Kifaa cha kutambua mabomu (made in Tanzania)

Kifaa cha kutambua mabomu (made in Tanzania)

Detector yangu nimeifanya imekuwa sensitive sana kiasi cha "β(hFE)= 1000"! sawa na uwiano wa β= 1000/1.Bila shaka umejua how sensitive it is.

Nilikuwa naulizia sensitivity ya receiver na penetration power ya sensor's sender!
 
lakini mkuu kwa mujibu wa blog yako ukiacha pure electrical systems, electronic blueprint ulizoziweka 'umezi download' somewhere. Baada ya kusoma huu uzi nilitamani nione electronic blueprints ambazo umezi design mwenyewe lakini sijafanikiwa kuona hata moja pamoja na kuzunguka kwenye hio blog yako.
But all in all 'keep it up'
 
Nilikuwa naulizia sensitivity ya receiver na penetration power ya sensor's sender!

labda unachanganya kidogo kati ya receiver na detector

Receiver ni kifaa kinacho pokea taarifa baada ya kutolewa au kurushwa na transmitter.Receiver haihusiani kabisa na ishu ya detection (mfano katika circuit yangu simu ya mteja ndio itakuwa receiver,simu niliyo iunga kwenye card itakuwa transmitter ile card itakuwa detector and processor,sensor itakuwa ile niliyo ifunga ku-sense variable fulani.

Mfano;-nimefunga sensor ya ku-sense smoke mchakato utakuwa kama ifuatavyo;-

Sensor ita-sense smoke = it is sensor

Sehemu ya circuit yangu ita detect taarifa za sensor = it is detector

Sehemu ya circuit yangu ita-procces sms kwenye Simu iliyopo kwenye circuit = It is a processor

Simu iliyopo kwenye circuit itatuma ujumbe ulio andikwa na proccesor kuja kwako = It is a transmitter

Wewe utapokea ujumbe kupitia simu yako = Your phone has acted as a receiver as well as you.

Labda ungeuliza Sensitivity ya detector yangu ikoje?Na tayari nimesha kujibu labda hujaelewa nikisema hFE=1000 maana yake chochote kitakacho hisiwa kitakuzwa mara 1000 ili kuirahisishia detector kutambua hata pale sensor itakapo kuwa inazalisha signal kwa kiwango kidogo sana.

Mfano mtu akisogeza mkono kwenye gari lako ukasogea hadi 5mm tayari detector itakua umesha tambua mkono huo bila hata kugusa gari kabisa.

Ubora wa sensor ku-sense vitu mara nyingi inategemeana na ubora wa sensor yenyewe na vigezo vyake vya utengenezaji!
 
lakini mkuu kwa mujibu wa blog yako ukiacha pure electrical systems, electronic blueprint ulizoziweka 'umezi download' somewhere. Baada ya kusoma huu uzi nilitamani nione electronic blueprints ambazo umezi design mwenyewe lakini sijafanikiwa kuona hata moja pamoja na kuzunguka kwenye hio blog yako.
But all in all 'keep it up'

Sikumbuki kama nimewahi kuandika it is my Design wakati sio.

Kama ni design yangu hua naandika kama sio design yangu huwa naweka tu address ya blog yangu.Mfano

this is my design na nimeandika
vo.gif

Na hii si design yangu nimeandika tu adress ya blog yangu.

Q.jpg

kama unaushahidi wa unacho kisema weka picha ya huo mchoro hapa niliyo andika design yangu wakati sio.

Hata hivyo I NEVER PUT MY COMPLEX DESIGN ON INTERNET hata wao wazungu hawaweki (Mfano ulisha wahi kuona Sumsung wamemwaga mifumo yao ya utengenezaji vifaa mtandaoni?) huwezi ukabuni kitu ukakiweka mtatandaoni!

Kwasababu kubuni mchoro wa kitu fulani inakugharimu muda pamoja na fedha.Mfano sakiti ya Mashine hiyo hapo juu toka mwezi wa pili nahangaika nayo bado gharama za vifaa vinavyo ungua mara kwa mara wakati wa design(and hope you know electronics parts are very cost full).Halafu sakiti imekubali nije niweke mtandaoni!!!!!!!!!!

Ntajitahidi kuwafundisha watu kuvua samaki na siyo kuwapa samaki cha msingi wahudhurie mafunzo.Siwezi kuja kuweka Layout ya designing yangu yeyote complex mtandaoni.

In other way thank you for your appreciation!

Hata hizo za wazungu unazo ziona mtandaoni are just for learning purpose most of them are projects some of them are not yet even improved.

Pia sijawahi kufundisha Designing mtandaoni hapo mwanzo.Nimetoa chapisho moja tu tarehe 9 August 20014 na kuchora mchoro wangu mwenyewe just for learning purpose Topic inahusu COMPARATORS!

Endelea kuhuzuria katika blog yangu uta-enjoy i need your support!
 
huwa nafurahi sana kuona watanzania wenye uwezo wa kutumia sayansi kusolve matatizo yetu. keep't up. tutafika tu.
 
Mkubwa kazi yako ni mzuri. Lakini swala la intellectual property, patent and copyrights unazizingatia? Ili kulinda kazi zako kisheria na kuepuka migogoro ya kisheria huko mbeleni?
 
Brother l have been following your threads they are so educative, l wonder if you can assist me, l want vehicle tracking system installed on my trucks. The trucks operate in SADC & EA regions.l want a system that does not use gsm bcuz with gsm l will forced to pay roaming charges
 
Brother l have been following your threads they are so educative, l wonder if you can assist me, l want vehicle tracking system installed on my trucks. The trucks operate in SADC & EA regions.l want a system that does not use gsm bcuz with gsm l will forced to pay roaming charges

Thank you for your appreciation.
Let me try to think on your request,if i will be capable to build such system i will let you know!
 
huwa nashindwa kuelewa kazi ya VETA kimsingi toka ianzishwe mpka leo still hata baiskeli zinatoka nje. Potential kama Transistor selfmade wa mtaani anafanya vitu vikubwa kama hivi bado hakuna support ya serikali kuona jinsi ya kuendeleza hii teknolojia kitaifa na kuvuka mipaka ya nchi
 
Last edited by a moderator:
Vipi jamaa wa ubalozi wa taifa kubwa hawakucheki??? huu ubunifu ukiwa China magoli kishenzi nchi inakudhamini ila hapa TZ sana sana utatafutwa kulisaidia geshi la poris utakapotokea mlipuko kwenye mkutano wa cdm
 
Vipi jamaa wa ubalozi wa taifa kubwa hawakucheki??? huu ubunifu ukiwa China magoli kishenzi nchi inakudhamini ila hapa TZ sana sana utatafutwa kulisaidia geshi la poris utakapotokea mlipuko kwenye mkutano wa cdm

hahaaa!...NO everything is cool hope they wont!
 
huwa nafurahi sana kuona watanzania wenye uwezo wa kutumia sayansi kusolve matatizo yetu. keep't up. tutafika tu.

Tutafika wapi na lini? watu kama hawa wanapuuzwa na serikali unategemea watafanya makubwa yapi? serikali inapaswa kufuatilia ili kujua vipaji vya watu na kuwasaidia kuviendeleza, vinginevyo tutaendelea kuwa taifa la wala makombo tu na kulindikiwa mauchafu na bidhaa bandia kutoka nje.
 
nzurisana jogo sina elimu ya elecronics, lakni kwa maelezo uliyo yatoa nimeipenda juhud yako
 
Back
Top Bottom