Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Mwanamke mmoja baada ya mmewe kusafiri aliamua kuwaita mahawara wake wawili wa kiume! Basi vidume havikufanya hiyana vikatia timu; Ghafla bila kutegemea mume akarudi na ikabidi mwanaume mmoja ajifiche darini na mwingine chini ya uvungu! Mazungumzo kati ya mume na mkewe yalikuwa hivi:
Mme:Mke wangu kipenzi,nimekuletea zawadi toka safarini!
Mke:Aaaah...Asante sana mme wangu!!!!
Mme:Noooooooooo...usinishukuru mimi;bali mshukuru aliye juu{akimaanisha MUNGU}
Jamaa aliye juu ya dari ikabidi apige kelele:Aaaaaaahhhhhh sipo peke yangu,kuna mwingine yupo chini ya uvungu!!!
Mme:Mke wangu kipenzi,nimekuletea zawadi toka safarini!
Mke:Aaaah...Asante sana mme wangu!!!!
Mme:Noooooooooo...usinishukuru mimi;bali mshukuru aliye juu{akimaanisha MUNGU}
Jamaa aliye juu ya dari ikabidi apige kelele:Aaaaaaahhhhhh sipo peke yangu,kuna mwingine yupo chini ya uvungu!!!