Kiduku Ofisa Ngiri mtumiaji wa mtandao X zamani twitter achukuliwa na watu wasiojulikana

Kiduku Ofisa Ngiri mtumiaji wa mtandao X zamani twitter achukuliwa na watu wasiojulikana

Meja Jenerali Isamuhyo

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
3,103
Reaction score
9,587
Free Kiduku aka Ofsa Ngiri. Kiduku ni kijana mjasiriamali ambaye pia huwa anatoa maoni kuhusu utawala mbovu wa nchi yetu.

Polisi DSM mnapaswa kumuachia Kiduku bila masharti. Serikali ya ccm haitazuia maoni tofauti kwa kukamata wakosoaji.

IMG_8151.jpeg
 
Ee Mwenyezi Mungu kama kuna kitu tulikukosea kama taifa basi tunaomba msamaha. Nilimchukia JPM maana yeye ndio aliasisi haya mambo ila kauli yake ya mtanikumbuka naanza kuiona moyoni mwangu. Pole Tanzania Pole Taifa. Maneno ya biblia yanasema mwovu akitawala taifa huugua
 
Hutaona polisi wakishughulika na usalama wa huyu raia na mali zake kama ilivyo wajibu wa kazi zao.
Wametekwa na Amiri jeshi mkuu kuhakikisha anabaki madarakani.

Ķwa hali kama hii, eti bado utaona mtu na akili zake anaenda kùkkaa kwenye mlolongo wa kusubirii kupiga kura., AIBU...!!
 
Ee Mwenyezi Mungu kama kuna kitu tulikukosea kama taifa basi tunaomba msamaha. Nilimchukia JPM maana yeye ndio aliasisi haya mambo ila kauli yake ya mtanikumbuka naanza kuiona moyoni mwangu. Pole Tanzania Pole Taifa. Maneno ya biblia yanasema mwovu akitawala taifa huugua
Inasikitisha sana mkuu
 
Free Kiduku aka Ofsa Ngiri. Kiduku ni kijana mjasiriamali ambaye pia huwa anatoa maoni kuhusu utawala mbovu wa nchi yetu.

Polisi DSM mnapaswa kumuachia Kiduku bila masharti. Serikali ya ccm haitazuia maoni tofauti kwa kukamata wakosoaji.

View attachment 3478486
Ina maana hairuhusiwi kabisa kwenda kinyume na kusifia utawala? So polisi wanatafuta kila raia mwenye kukosoa utawala?
 
Free Kiduku aka Ofsa Ngiri. Kiduku ni kijana mjasiriamali ambaye pia huwa anatoa maoni kuhusu utawala mbovu wa nchi yetu.

Polisi DSM mnapaswa kumuachia Kiduku bila masharti. Serikali ya ccm haitazuia maoni tofauti kwa kukamata wakosoaji.

View attachment 3478486
Ina maana Tanzania sikuhizi kuna serikali mbili Moja yenye mahakama ya akina Tundu Lisu na nyingine mahakama ya wasiojulikana yaani wao ukikosoa au kufanya uchochezi hukumu yake ni kifo! utawala wa Idd Amini umeamia Tanzania. Yaani huyo Nyerere angerudi asingeamini kwamba nchi yake iliyokuwa inalaani mauaji ya Idd Amini kwa raia wake na kumwita nduli ndio yanayofanyika katika nchi yake aliyoasisi kwa vijana wa kitanzania wakosoaji wa watawala kuuliwa bila kupelekwa mahakamani.
 
Back
Top Bottom