Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Amavubi hata hivi tunavyoviona kuwa ni vipya ni vya zamani kichizi.ama kweli Hakuna jipya duniani........yote ni ubatili na kujilisha upepo......yaani anaonekana wa zamani kabisa huyu....
Kumhalibu kivipi?kitabia au kwakujamiana?huyo babu lazima ukimuacha na mwanao ukute kisha mharibu
bhange bana!!!
Mnh! Huyu atakuwa amezikusanya kwa gundi ya minyaa!
aaaah!!! babuuuuu kakusanya na gund??? mnyoooo huo wanguuu
Kumhalibu kivipi?kitabia au kwakujamiana?
Hao wazee wa ajabu ajabu kadiri wanavyo zeeka ndio nguvu za kiume na hamu ya ngono vinavyo ongezeka
Kama ni mume wangu na tunatakiwa kwenda mahali pamoja, ntamwambia tangulia tu tutakutana huko huko.