Kiduku cha babu yangu

Kiduku cha babu yangu

Aaaaaaaaagh, Mwl. Baba V, yaani unakomea kusema hivyo tu? Toa Onyo bwana kama mwalimu wa watoto wetu, tena mkongwe kwa watovu wa nidhamu!
Hebu niambie akiingia ofisini mwako mtu wa namna hii halafu anasema ni mzazi wa mojawapo wa wanafunzi wako, utamsaidia shida yake tu au utampa na ushauri/utachukua hatua gani dhidi ya muonekano wake na madhara yake katika malezi ya watoto?
Mwl. gfsonwin, njoo huku umsaidie mwal. Mwenzako Baba V! Ahahahahaaaaa! Walimu nawapenda sana, dah!?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Aje ofisini kwangu hivyo!??? atajuuta, ntamlamba viboko ikiwezekana ntamng'ata kabisa ili asijerudia tena
 
Last edited by a moderator:
nilikuwa nae mmoja nilipokuwa mwaka wa kwanza alikuwa ananiweka mjini

Mwaka wa kwanza wa nini!!!?, kwa hiyo ukaona kadri siku zinavyosonga ndo nguvu zinaongezeka?? vipi ulimtosa au bado mnaendeleaga!??
 
Mwaka wa kwanza wa nini!!!?, kwa hiyo ukaona kadri siku zinavyosonga ndo nguvu zinaongezeka?? vipi ulimtosa au bado mnaendeleaga!??

Mwaka wa kwanza wa masomo chuo kikuu...
 
Hizo nywele kama mashamba ya chai kule Lushoto...
 
Hao wazee wa ajabu ajabu kadiri wanavyo zeeka ndio nguvu za kiume na hamu ya ngono vinavyo ongezeka
Is it ?,kisayansi inaleta maana?au ndiyo mambo ya wazee wa siku hizi!!
 
Kiswahili bwana ahhh. au wee huvionagi vile vibao vya waganga wanao ongeza nguvu za kiume?
Mkuu giLESi nimekusoma vizuri,siku hizi kuna waganga wakienyeji ambao wanajifanya wajuzi sana wa mambo hayo!
 
Last edited by a moderator:
hapa hamna bitozi anayetia mguu.
Sio Balotelli wala sio nani.
Babu Yangu Asprin ni funika bovu
165041_477473175631836_411650092_n.jpg

Na hiki ndicho kilichomfanya cacico anizimie LOL
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom