Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,431
- Thread starter
- #21
nilikuwa nae mmoja nilipokuwa mwaka wa kwanza alikuwa ananiweka mjini
Inaonekana una eksipiriens nao
Inaonekana una eksipiriens nao
Aaaaaaaaagh, Mwl. Baba V, yaani unakomea kusema hivyo tu? Toa Onyo bwana kama mwalimu wa watoto wetu, tena mkongwe kwa watovu wa nidhamu!
Hebu niambie akiingia ofisini mwako mtu wa namna hii halafu anasema ni mzazi wa mojawapo wa wanafunzi wako, utamsaidia shida yake tu au utampa na ushauri/utachukua hatua gani dhidi ya muonekano wake na madhara yake katika malezi ya watoto?
Mwl. gfsonwin, njoo huku umsaidie mwal. Mwenzako Baba V! Ahahahahaaaaa! Walimu nawapenda sana, dah!?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
nilikuwa nae mmoja nilipokuwa mwaka wa kwanza alikuwa ananiweka mjini
Mwaka wa kwanza wa nini!!!?, kwa hiyo ukaona kadri siku zinavyosonga ndo nguvu zinaongezeka?? vipi ulimtosa au bado mnaendeleaga!??
Is it ?,kisayansi inaleta maana?au ndiyo mambo ya wazee wa siku hizi!!Hao wazee wa ajabu ajabu kadiri wanavyo zeeka ndio nguvu za kiume na hamu ya ngono vinavyo ongezeka
Is it ?,kisayansi inaleta maana?au ndiyo mambo ya wazee wa siku hizi!!