Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,053
- 2,669
Wadau habari, Ni matumaini yangu hamjambo. Nimejileta kwenu ili nipate utatuzi wa changamoto ya kiafya inayonikabili. Ni karibu wiki sasa nasumbuliwa na aina fulani ya kidonda juu ya uume.
Kwanza nilianza kuhisi maumivu kidogo suruali inapogusana na kichwa cha uume nikadhani nimepata michubuko ya kawaida sikujichunguza.
Baada ya siku kama tatu ndio nikahisi hali si kawaida nilipotazama nikaona kimeenea karibu robo ya eneo la juu ya kichwa cha uume.
Naomba kufahamishwa tatizo linatokana na nini na ikiwa kuna tiba zake nitashukuru wakuu.
Natanguliza shukrani!
Kwanza nilianza kuhisi maumivu kidogo suruali inapogusana na kichwa cha uume nikadhani nimepata michubuko ya kawaida sikujichunguza.
Baada ya siku kama tatu ndio nikahisi hali si kawaida nilipotazama nikaona kimeenea karibu robo ya eneo la juu ya kichwa cha uume.
Naomba kufahamishwa tatizo linatokana na nini na ikiwa kuna tiba zake nitashukuru wakuu.
Natanguliza shukrani!