Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,573
- 47,034
Siku ya 12 sasa nafunga naenda vizuri hata pongezi mhmhmmh!
Siku ya 12 sasa nafunga naenda vizuri hata pongezi mhmhmmh!
Moyo unataka kupasuka mtu ananunua henessy million jombaa wewe hata dumu la maji uhai elfu 3 unakosa unaweza kujilaani, ila tusifike huko lizika na mapato yakodah Million 1 kubwa aisee. Ghetto unakuta hauna ata Soundbar moja kali hafu unataka kuipa mbususu Mil.
Wee huendagi vikaoni eeHamna kitu, anahudumia mwanamke kashakubaliana na hali zote so anatoa tu, na huwezi mkuta humu analalamika au kuanzisha uzi wanawake wanakula pesa yake ni ushamba
Kama ni kweli hongera sana najua sio rahis etiSiku ya 12 sasa nafunga naenda vizuri hata pongezi mhmh
Maisha hayana usawa haya tafrani tupuMoyo unataka kupasuka mtu ananunua henessy million jombaa wewe hata dumu la maji uhai elfu 3 unakosa unaweza kujilaani, ila tusifike huko lizika na mapato yako
Vikao vyetu vile vimepoteza dira siendi siku hiziWee huendagi vikaoni ee
ee shughuliVikao vyetu vile vimepoteza dira siendi siku hizi
🤣🤣 unaweza jiona umekosea sehemu. Ngoja nitulie tuMoyo unataka kupasuka mtu ananunua henessy million jombaa wewe hata dumu la maji uhai elfu 3 unakosa unaweza kujilaani, ila tusifike huko lizika na mapato yako
Weeee si utaona umezaliwa ili iweje, kumbe ni mifumo ya kiuchumi tu haijakukalia vyemaunaweza jiona umekosea sehemu. Ngoja nitulie tu
Uhuni tuAah Salamu kitu gani bana! Iko hivi, ...nipo Dar hapa , nina mpenzi yupo Mkoa wa Mara border,
Huyu manzi sasa nina mwezi nae tangu tujuane. Lakini kabla sijakutana nae, nilikua na manzi mwingine hapa hapa Dar, tena jirani yangu.
Kiukweli kwa mmanzi wa Dar nilikua sigharamiki sana. Ikizidi sana 50k.
Sasa huyu wa Mkoa, .... Mamamamamamam ...kila nikimeet nae lazima 300k ipotee. Kwa kuhesabu tu..., Mpaka sasa tangu nimekutana nae , inakaribia milioni ndani ya mwezi tu.
Sasa Bwana, wiki jana aliniomba tukutane, amenimiss,....nikamwambia sitaweza kufika huko cause ni mbali na kama ni nauli nipo tayari kukutumia ili wewe uje. Akasema hawezi kuja eti niende Mimi.
Sasa, nilichokifanya....nikaamua kumtafuta huyu wa Dar..., Na kumpa 100k bila kumfanya chochote,...nikaondoka zangu.
Hapa nafikiria kuachana kabisa na mapenzi. Niendelee kutafuta pesa. Natamani kuwa na mke lakini aaaaah haya mambo sitaki kabisa...,nimeyachoka kabisa.
Kwa mwenye ushauri tafadhali.
Uhuni tu
Kwa akili zako mleta mada wacha hadi mavyuuzz yako nayo yawake moto kabisa tena kabisa.!!
Ninatabiri...kifo cha huyu mzee kitatokana na presha. Kama bado yuko hai.Kwasasa unawachafua tuu tafuta hela kwanza mapenzi tuachie sisiView attachment 2264920
Umeua mkuuKwa akili zako mleta mada wacha hadi mavyuuzz yako nayo yawake moto kabisa tena kabisa.!!
Wasilisha namba yake pm faster nikusaidie garamaAah Salamu kitu gani bana! Iko hivi, ...nipo Dar hapa , nina mpenzi yupo Mkoa wa Mara border,
Huyu manzi sasa nina mwezi nae tangu tujuane. Lakini kabla sijakutana nae, nilikua na manzi mwingine hapa hapa Dar, tena jirani yangu.
Kiukweli kwa mmanzi wa Dar nilikua sigharamiki sana. Ikizidi sana 50k.
Sasa huyu wa Mkoa, .... Mamamamamamam ...kila nikimeet nae lazima 300k ipotee. Kwa kuhesabu tu..., Mpaka sasa tangu nimekutana nae , inakaribia milioni ndani ya mwezi tu.
Sasa Bwana, wiki jana aliniomba tukutane, amenimiss,....nikamwambia sitaweza kufika huko cause ni mbali na kama ni nauli nipo tayari kukutumia ili wewe uje. Akasema hawezi kuja eti niende Mimi.
Sasa, nilichokifanya....nikaamua kumtafuta huyu wa Dar..., Na kumpa 100k bila kumfanya chochote,...nikaondoka zangu.
Hapa nafikiria kuachana kabisa na mapenzi. Niendelee kutafuta pesa. Natamani kuwa na mke lakini aaaaah haya mambo sitaki kabisa...,nimeyachoka kabisa.
Kwa mwenye ushauri tafadhali.