Kichwa kinawaka moto! Njooni mnisaidie kukizima

aubasi

JF-Expert Member
Mar 14, 2022
269
344
Aah Salamu kitu gani bana! Iko hivi, nipo Dar hapa , nina mpenzi yupo Mkoa wa Mara border,

Huyu manzi sasa nina mwezi nae tangu tujuane. Lakini kabla sijakutana nae, nilikua na manzi mwingine hapa hapa Dar, tena jirani yangu. Kiukweli kwa mmanzi wa Dar nilikua sigharamiki sana. Ikizidi sana 50k.

Sasa huyu wa Mkoa, Mamamamamamam kila nikimeet nae lazima 300k ipotee. Kwa kuhesabu tu..., Mpaka sasa tangu nimekutana nae, inakaribia milioni ndani ya mwezi tu.

Sasa Bwana, wiki jana aliniomba tukutane, amenimiss, nikamwambia sitaweza kufika huko cause ni mbali na kama ni nauli nipo tayari kukutumia ili wewe uje. Akasema hawezi kuja eti niende Mimi.

Sasa, nilichokifanya nikaamua kumtafuta huyu wa Dar, Na kumpa 100k bila kumfanya chochote, nikaondoka zangu.

Hapa nafikiria kuachana kabisa na mapenzi. Niendelee kutafuta pesa. Natamani kuwa na mke lakini aaaaah haya mambo sitaki kabisa,nimeyachoka kabisa.

Kwa mwenye ushauri tafadhali.
 
Aah Salamu kitu gani bana! Iko hivi, ...nipo Dar hapa , nina mpenzi yupo Mkoa wa Mara border,

Huyu manzi sasa nina mwezi nae tangu tujuane. Lakini kabla sijakutana nae, nilikua na manzi mwingine hapa hapa Dar, tena jirani yangu.

Kiukweli kwa mmanzi wa Dar nilikua sigharamiki sana. Ikizidi sana 50k.

Sasa huyu wa Mkoa, .... Mamamamamamam ...kila nikimeet nae lazima 300k ipotee. Kwa kuhesabu tu..., Mpaka sasa tangu nimekutana nae , inakaribia milioni ndani ya mwezi tu.

Sasa Bwana, wiki jana aliniomba tukutane, amenimiss,....nikamwambia sitaweza kufika huko cause ni mbali na kama ni nauli nipo tayari kukutumia ili wewe uje. Akasema hawezi kuja eti niende Mimi.

Sasa, nilichokifanya....nikaamua kumtafuta huyu wa Dar..., Na kumpa 100k bila kumfanya chochote,...nikaondoka zangu.

Hapa nafikiria kuachana kabisa na mapenzi. Niendelee kutafuta pesa. Natamani kuwa na mke lakini aaaaah haya mambo sitaki kabisa...,nimeyachoka kabisa.

Kwa mwenye ushauri tafadhali.
Kwasasa unawachafua tuu tafuta hela kwanza mapenzi tuachie sisi
Screenshot_20220618-155013.jpg
 
Aah Salamu kitu gani bana! Iko hivi, ...nipo Dar hapa , nina mpenzi yupo Mkoa wa Mara border,

Huyu manzi sasa nina mwezi nae tangu tujuane. Lakini kabla sijakutana nae, nilikua na manzi mwingine hapa hapa Dar, tena jirani yangu.

Kiukweli kwa mmanzi wa Dar nilikua sigharamiki sana. Ikizidi sana 50k.

Sasa huyu wa Mkoa, .... Mamamamamamam ...kila nikimeet nae lazima 300k ipotee. Kwa kuhesabu tu..., Mpaka sasa tangu nimekutana nae , inakaribia milioni ndani ya mwezi tu.

Sasa Bwana, wiki jana aliniomba tukutane, amenimiss,....nikamwambia sitaweza kufika huko cause ni mbali na kama ni nauli nipo tayari kukutumia ili wewe uje. Akasema hawezi kuja eti niende Mimi.

Sasa, nilichokifanya....nikaamua kumtafuta huyu wa Dar..., Na kumpa 100k bila kumfanya chochote,...nikaondoka zangu.

Hapa nafikiria kuachana kabisa na mapenzi. Niendelee kutafuta pesa. Natamani kuwa na mke lakini aaaaah haya mambo sitaki kabisa...,nimeyachoka kabisa.

Kwa mwenye ushauri tafadhali.
Kwasasa unawachafua tuu tafuta hela kwanza mapenzi tuachie sisiView attachment 2264920
 
Aah Salamu kitu gani bana! Iko hivi, ...nipo Dar hapa , nina mpenzi yupo Mkoa wa Mara border,

Huyu manzi sasa nina mwezi nae tangu tujuane. Lakini kabla sijakutana nae, nilikua na manzi mwingine hapa hapa Dar, tena jirani yangu.

Kiukweli kwa mmanzi wa Dar nilikua sigharamiki sana. Ikizidi sana 50k.

Sasa huyu wa Mkoa, .... Mamamamamamam ...kila nikimeet nae lazima 300k ipotee. Kwa kuhesabu tu..., Mpaka sasa tangu nimekutana nae , inakaribia milioni ndani ya mwezi tu.

Sasa Bwana, wiki jana aliniomba tukutane, amenimiss,....nikamwambia sitaweza kufika huko cause ni mbali na kama ni nauli nipo tayari kukutumia ili wewe uje. Akasema hawezi kuja eti niende Mimi.

Sasa, nilichokifanya....nikaamua kumtafuta huyu wa Dar..., Na kumpa 100k bila kumfanya chochote,...nikaondoka zangu.

Hapa nafikiria kuachana kabisa na mapenzi. Niendelee kutafuta pesa. Natamani kuwa na mke lakini aaaaah haya mambo sitaki kabisa...,nimeyachoka kabisa.

Kwa mwenye ushauri tafadhali.
Sasa mbona ni kama umeshauzima moto unataka nini tena ushauriwe
 
Aah Salamu kitu gani bana! Iko hivi, ...nipo Dar hapa , nina mpenzi yupo Mkoa wa Mara border,

Huyu manzi sasa nina mwezi nae tangu tujuane. Lakini kabla sijakutana nae, nilikua na manzi mwingine hapa hapa Dar, tena jirani yangu.

Kiukweli kwa mmanzi wa Dar nilikua sigharamiki sana. Ikizidi sana 50k.

Sasa huyu wa Mkoa, .... Mamamamamamam ...kila nikimeet nae lazima 300k ipotee. Kwa kuhesabu tu..., Mpaka sasa tangu nimekutana nae , inakaribia milioni ndani ya mwezi tu.

Sasa Bwana, wiki jana aliniomba tukutane, amenimiss,....nikamwambia sitaweza kufika huko cause ni mbali na kama ni nauli nipo tayari kukutumia ili wewe uje. Akasema hawezi kuja eti niende Mimi.

Sasa, nilichokifanya....nikaamua kumtafuta huyu wa Dar..., Na kumpa 100k bila kumfanya chochote,...nikaondoka zangu.

Hapa nafikiria kuachana kabisa na mapenzi. Niendelee kutafuta pesa. Natamani kuwa na mke lakini aaaaah haya mambo sitaki kabisa...,nimeyachoka kabisa.

Kwa mwenye ushauri tafadhali.
Kina faida gani
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom