Kichere :Meneja wa TRA atakayefunga Biashara ya Mfanyabiashara Kukiona

Jembe Jembe

JF-Expert Member
Jun 9, 2016
749
1,797
Kamishna Mkuu wa Kodi Nchini, Charles Kichere amewaagiza Mameneja wake wa TRA Nchini kutofunga Biashara ya Mfanyabiashara kwa sababu ya kutolipa ama kulimbikiza kodi na kudai atakayekiuka utaratibu huo atachukuliwa hatua Kali juu yake.

Kichere amesema hayo katika kipindi cha 360 kinachorushwa na kituo kimojawapo cha Television Nchini na kusema kuwa zipo njia mbadala za kukutana na Mfanyabiashara na kukubaliana naye jinsi ya kulipa kodi kuliko kumfungia Biashara yake.

"Mimi naumia sana kuona Biashara zikifungwa sababu ya kodi kwani unapomfungia Mfanyabiashara unakosa hata kile kidogo hivyo nimewaagiza mameneja wangu kutofunga Biashara Bali wafanye mazungumzi na wafanyabiashara jinsi ya kulipana"



View attachment 970218
 
Kamishna Mkuu wa Kodi Nchini, Charles Kichere amewaagiza Mameneja wake wa TRA Nchini kutofunga Biashara ya Mfanyabiashara kwa sababu ya kutolipa ama kulimbikiza kodi na kudai atakayekiuka utaratibu huo atachukuliwa hatua Kali juu yake.

Kichere amesema hayo katika kipindi cha 360 kinachorushwa na kituo kimojawapo cha Television Nchini na kusema kuwa zipo njia mbadala za kukutana na Mfanyabiashara na kukubaliana naye jinsi ya kulipa kodi kuliko kumfungia Biashara yake.

"Mimi naumia sana kuona Biashara zikifungwa sababu ya kodi kwani unapomfungia Mfanyabiashara unakosa hata kile kidogo hivyo nimewaagiza mameneja wangu kutofunga Biashara Bali wafanye mazungumzi na wafanyabiashara jinsi ya kulipana"



View attachment 970218
He should not have waited for the president's statement prior to acting |Viongozi wanaotegemea muelekeo wa upepo hawafai kabisa.
 
Kamishna Mkuu wa Kodi Nchini, Charles Kichere amewaagiza Mameneja wake wa TRA Nchini kutofunga Biashara ya Mfanyabiashara kwa sababu ya kutolipa ama kulimbikiza kodi na kudai atakayekiuka utaratibu huo atachukuliwa hatua Kali juu yake.

Kichere amesema hayo katika kipindi cha 360 kinachorushwa na kituo kimojawapo cha Television Nchini na kusema kuwa zipo njia mbadala za kukutana na Mfanyabiashara na kukubaliana naye jinsi ya kulipa kodi kuliko kumfungia Biashara yake.

"Mimi naumia sana kuona Biashara zikifungwa sababu ya kodi kwani unapomfungia Mfanyabiashara unakosa hata kile kidogo hivyo nimewaagiza mameneja wangu kutofunga Biashara Bali wafanye mazungumzi na wafanyabiashara jinsi ya kulipana"



View attachment 970218
Ni vile wanajifanya hawajui tu, kodi hazilipiki sababu mzunguko wa biashara mdogo sana awamu hii.
 
Bora amewakumbusha maana wao ilikuwa na kupiga kofuli tu biashara za watu.
 
Kamishna Mkuu wa Kodi Nchini, Charles Kichere amewaagiza Mameneja wake wa TRA Nchini kutofunga Biashara ya Mfanyabiashara kwa sababu ya kutolipa ama kulimbikiza kodi na kudai atakayekiuka utaratibu huo atachukuliwa hatua Kali juu yake.

Kichere amesema hayo katika kipindi cha 360 kinachorushwa na kituo kimojawapo cha Television Nchini na kusema kuwa zipo njia mbadala za kukutana na Mfanyabiashara na kukubaliana naye jinsi ya kulipa kodi kuliko kumfungia Biashara yake.

"Mimi naumia sana kuona Biashara zikifungwa sababu ya kodi kwani unapomfungia Mfanyabiashara unakosa hata kile kidogo hivyo nimewaagiza mameneja wangu kutofunga Biashara Bali wafanye mazungumzi na wafanyabiashara jinsi ya kulipana"



View attachment 970218
KUNA VITU VITATU KAMISHINA KICHERE UNAPASWA KUVIANGALIA LIKELY DAILY......

1. WATU WAKO TRA WANAJUA BIASHARA WANAZOZITOZA KODI...WANAZIJUA BIASHARA KAMA BIASHARA AU WANAJUA TU KUKOKOTOA MAHESABU YA KODI. Hili Halikwepeki. Ni lazima uwe na waru wanaojua biashara zinaendeshwaje. Sio watu wanakurupuka kutoa makadirio ambayo hayawezekani.

2. LINAENDANA NA LA KWANZA. VIWANGO VINAVYOTOZWA KODI VIKO SAWA KWA AKILI YA KAWAIDA TU SIO KWA AKILI YA VIKOKOTOLEA MAHESABU. VIWANGO VIKO SAWA??? NI RAFIKI??? AU VIKWAZO TOSHA???. MTU ANUNUE GARI...SAY POUND 4000 (13M)/USAFIRI INCLUSIVE....KODI INAWEZA KUWA ANYTHING KUANZIA POUND 9000 (27M)...WAIT A MINUTE... SIJUI MAANA YAKE NINI ZAIDI YA KATAZO FULANI HIVI

3. NAPENDA KUAMINI TRA WANA IDARA YA UTAFITI...KAMA IPO HIVI TAFITI ZAO ZINASEMAGA NINI HASA....WATU WANAKWEPA KODI, WATU HAWATAKI KULIPA KODI, WATANZANIA NI WAKOROFI WEZI AU? HUWA ZINASEMA NINI EXACTLY

4. RAIS ANATEGEA SANA WATU WAFANYE MAMBO KWA WELEDI NDIO MAANA ANAWAAMINI WASOMI. SASA SHIDA SIJUI IKO WAPI.

5 HIVI TRA HUWA MNAKAA NA KUWA MTU ANAFUNGA VIPI DUKA/BIASHARA WAKATI NDIO LIVELIHOOD YAKE INATOKA HAPO. HUWA MNAWAZA KWELI????

6. CHANGAMOTO NI SEHEMU YA MAISHA. TRA MNAWEZA KUBORESHA. OMBENI USHAURI WA BURE.

7. UKIFANIKIWA KUREKEBISHA HAYO YALIOPO HAPO JUU NDIO UANZE KUFIKIRIA JUU KUPANUA TAX BASE PERIOD. HAO UNAOWAFUATA MITANDAONI NDIO HAO HAO CHANCES WAMEKUWA DISAPPOINTED NA CURRENT ARRANGEMENT.


8. KUNA KITU PIA KAMISHNA ANAWEZA KUSHAURINA NA RAIS. HIVI SEHEMU KUBEA YA KODI INAKWENDA WAPI???? KAMA NI MATUMIZI YA KAWAIDA SI YA MAENDELEO. BASI UKUBWA WA SERIKALI UPUNGUE. NDIO. KUWE NA RECURRENT EXPENDITURE SAY 25% NA DEVELOPMENT EXPENDITURE 75%. NA SI VINGINEVYO.
 
Punguzeni kodi acheni kukariri vya wazungu, kukopi kila kitu hata % zao za kodi mnatuletea walala hoi.

Mashine ni sawa lakini wamekuwa wababe kiasi wafanyabiashara wakiwaona wanatetemeka utafikiri wameona koboko
 
Ni vile wanajifanya hawajui tu, kodi hazilipiki sababu mzunguko wa biashara mdogo sana awamu hii.
Hata kama mzunguko ni mdogo bado kiasi hicho cha mapato kinaweza kulipwa ili mradi uwe na proper documentation ambazo ni verifiable.[waswahili wengi hatufanyi hivyo].
MALI BILA YA DAFTARI NI MUALIKO WA KUBAMBIKIWA
 
Hali ngumu wanageuka taratibu wee angalia tuu
Suala siyo hali ngumu bali ni vichwa vigumu.
Kila biashara kuna wakati hali inakuwa nzuri na wakati hali inakuwa mbaya. Kiasi gani cha kodi mfanya biashara anapaswa kulipa inategemea gharama za manunuzi,mauzo pamoja na gharama za uendeshaji. Kodi hukatwa kwenye faida pekee. Mfanya biashara anachopaswa kufanya ni kuweka rekodi halisi ya shughuli zote za biashara yake. Mtaalam wa kodi anapokuja kuangalia vitabu vyako inakuwa rahisi kwake kukadiria kodi. Iwapo hukubaliani na ukadiriaji huo sheria inaruhusu kukata rufaa. Tatizo ambalo ninaliona kwa wafanyabiashara wengi wazalendo, ni utunzaji wa kumbukumbu zikiwamo risiti za manunuzi, mauzo pamoja na gharama nyingine. Watu wa kodi wanapaswa kuelimisha sana na siyo kukomoa biashara kwa kufunga kwani wakifanya hivyo, na pia wanaathirika maana makusanyo yatakuwa madogo.
 
Acha kupo
Suala siyo hali ngumu bali ni vichwa vigumu.
Kila biashara kuna wakati hali inakuwa nzuri na wakati hali inakuwa mbaya. Kiasi gani cha kodi mfanya biashara anapaswa kulipa inategemea gharama za manunuzi,mauzo pamoja na gharama za uendeshaji. Kodi hukatwa kwenye faida pekee. Mfanya biashara anachopaswa kufanya ni kuweka rekodi halisi ya shughuli zote za biashara yake. Mtaalam wa kodi anapokuja kuangalia vitabu vyako inakuwa rahisi kwake kukadiria kodi. Iwapo hukubaliani na ukadiriaji huo sheria inaruhusu kukata rufaa. Tatizo ambalo ninaliona kwa wafanyabiashara wengi wazalendo, ni utunzaji wa kumbukumbu zikiwamo risiti za manunuzi, mauzo pamoja na gharama nyingine. Watu wa kodi wanapaswa kuelimisha sana na siyo kukomoa biashara kwa kufunga kwani wakifanya hivyo, na pia wanaathirika maana makusanyo yatakuwa madogo.
Acha kupotosha watu bwana kodi gani hiyo inayotozwa kwenye faida?? Nimefanya biashara miaka mingi ila cjawahi kadiriliwa kodi kutoka kwenye faida, na sio kazi ya TRA, kujua faida yako ni ipi bali wao wanacho deal nacho ni mauzo ghafi tu!!!!, ndio maana hata mfanya biashara mdogo asiyekuwa na uwezo wa kutunza record wana muuliza mauzo yake ya siku ni kiasi gani, ndio wapate kodi, na hata kuwa na sifa za kutoza VAT, kinachoangaliwa hapo ni kiwango cha mauzo ghafi kwa mwaka.
 
Kamishna Mkuu wa Kodi Nchini, Charles Kichere amewaagiza Mameneja wake wa TRA Nchini kutofunga Biashara ya Mfanyabiashara kwa sababu ya kutolipa ama kulimbikiza kodi na kudai atakayekiuka utaratibu huo atachukuliwa hatua Kali juu yake.

Kichere amesema hayo katika kipindi cha 360 kinachorushwa na kituo kimojawapo cha Television Nchini na kusema kuwa zipo njia mbadala za kukutana na Mfanyabiashara na kukubaliana naye jinsi ya kulipa kodi kuliko kumfungia Biashara yake.

"Mimi naumia sana kuona Biashara zikifungwa sababu ya kodi kwani unapomfungia Mfanyabiashara unakosa hata kile kidogo hivyo nimewaagiza mameneja wangu kutofunga Biashara Bali wafanye mazungumzi na wafanyabiashara jinsi ya kulipana"



View attachment 970218
the problem we have with TRA is not paying taxes but they way those taxes are arrived
 
Back
Top Bottom