Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 749
- 1,797
Kamishna Mkuu wa Kodi Nchini, Charles Kichere amewaagiza Mameneja wake wa TRA Nchini kutofunga Biashara ya Mfanyabiashara kwa sababu ya kutolipa ama kulimbikiza kodi na kudai atakayekiuka utaratibu huo atachukuliwa hatua Kali juu yake.
Kichere amesema hayo katika kipindi cha 360 kinachorushwa na kituo kimojawapo cha Television Nchini na kusema kuwa zipo njia mbadala za kukutana na Mfanyabiashara na kukubaliana naye jinsi ya kulipa kodi kuliko kumfungia Biashara yake.
"Mimi naumia sana kuona Biashara zikifungwa sababu ya kodi kwani unapomfungia Mfanyabiashara unakosa hata kile kidogo hivyo nimewaagiza mameneja wangu kutofunga Biashara Bali wafanye mazungumzi na wafanyabiashara jinsi ya kulipana"
View attachment 970218
Kichere amesema hayo katika kipindi cha 360 kinachorushwa na kituo kimojawapo cha Television Nchini na kusema kuwa zipo njia mbadala za kukutana na Mfanyabiashara na kukubaliana naye jinsi ya kulipa kodi kuliko kumfungia Biashara yake.
"Mimi naumia sana kuona Biashara zikifungwa sababu ya kodi kwani unapomfungia Mfanyabiashara unakosa hata kile kidogo hivyo nimewaagiza mameneja wangu kutofunga Biashara Bali wafanye mazungumzi na wafanyabiashara jinsi ya kulipana"
View attachment 970218