mbona wawatukana watoto wa wenzio hivyo!
Watanzania wote tuna tatizo la 'mindsets' lakini hatutaki kukubali hili. Leo ni hawa, kesho wale, keshokutwa wewe nk. Ndio maana watu walivyohoji 'kamati' ya Serengeti Boys waliwalidhania utani na baada ya nao kufurumushwa nje ya mashindano wengine wanaanza kulia hadharani bila kujua kuwa wana ndevu!