mbona wawatukana watoto wa wenzio hivyo!
Watanzania wote tuna tatizo la 'mindsets' lakini hatutaki kukubali hili. Leo ni hawa, kesho wale, keshokutwa wewe nk. Ndio maana watu walivyohoji 'kamati' ya Serengeti Boys waliwalidhania utani na baada ya nao kufurumushwa nje ya mashindano wengine wanaanza kulia hadharani bila kujua kuwa wana ndevu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.