Kichefuchefu cha TBC bungeni Dodoma

Kichefuchefu cha TBC bungeni Dodoma

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,227
Reaction score
829,252
Nina hamu ya kuangalia bunge linavyoendelea Dodoma ila kisimbuzi ninachotumia local channels zinazokamata ni mbili tu Tbc na Channel Ten,ambapo Tbc ndio inaonyesha bunge
kwakweli ni aibu kwa serikali na Taifa kwa ujumla yani picha ni hafifu na zinakatakata mno utafikiri ni kakituo tu kamtu binafsi kumbe ni Kituo cha Taifa INAHUZUNISHA MNO
 
Hapo tatizo either ni udhaifu wa Mitambo na viongozi wake au la kubwa zaidi bajeti waliopitishiwa mwaka jana haijawafikia kuanza kurekebisha mambo yao, au la fedha ilipitishwa tu kule kwamba tunaenda kununua mitambo mpya ili bunge liwaidhinishie lakini ukweli ni Per Diems za vikao vya wanaTBC,na kubwa zaidi nani anatoa hoja binafsi leo bungeni ?.....Mungu tukumbuke watanzania.....Imformation is POWER,so kinyume cha hapo ni kuzika watu na wanatuzika kweli,watu wa Muheza TV zimekuwa mapambo tu kama hauna deki ukandalia mikanda ndo basi tena sasa sijui tunaenda mbele au tunarudi nyuma,mamayangu nchi yangu jamani upole huu nani katupatia tunateseka jamani....
 
Ingekuwa cyria watu watu wangeshaingia porini muda mrefu. Sisi kumiliki upole tunaona dili kumbe ubwege. Mbona jana hawakukatika kama leo? Au kwavile jana mtoa hoja walikiwa wa CCM?
 
Ingekuwa cyria watu watu wangeshaingia porini muda mrefu. Sisi kumiliki upole tunaona dili kumbe ubwege. Mbona jana hawakukatika kama leo? Au kwavile jana mtoa hoja walikiwa wa CCM?

Loh nafikiri kuna ukweli kuhusu hilo
 
hiyo ndio TBC, serikali inatakiwa itoe mkono wake huko iiache ijiendeshe kibiashara, watu waheshimiane mjini hapa~
 
Tatizo siyo mitambo walikuwa wanakata makusudi...wapumbavu kabisa
 
Back
Top Bottom