Zinagharamia safari za rais nje ya ncHi
Tena zimemnufaisha sana sasa ni Profesa..
Zinagharamia safari za rais nje ya ncHi
Sasa mnataka jk ndo atoe hela toka mfukoni mwake.
kwani 2000 ama 10000 ukitoa mara moja katika miaka 50 utaadhirika nini?,wakati huo wanalalamika jioni wanajazana kona bar na kunywa maelfu.
vipi ungeishi kama kenya ama america ambako hadi biashara ndogo kama toroli la kuuza matunda mpaka uwe na leseni na kibali cha food and drug authority.
Sasa mnataka jk ndo atoe hela toka mfukoni mwake.
kwani 2000 ama 10000 ukitoa mara moja katika miaka 50 utaadhirika nini?,wakati huo wanalalamika jioni wanajazana kona bar na kunywa maelfu.
vipi ungeishi kama kenya ama america ambako hadi biashara ndogo kama toroli la kuuza matunda mpaka uwe na leseni na kibali cha food and drug authority.
Deni la Taifa sasa ni trilioni 30, zimefanya nini? Kwa nini wasiende kuchukua zile zilizofichwa uswizi? au hizi za IPTL zilizoibwa juzi? Juzi wamefika home kwangu wakataka elfu 60 kwa kila nyumba! Nikauliza waraka unaosema elfu 60 kwa kila nyumba uko wapi? wakaishia kunitolea mimacho; sijakaa sawa ofisini nikakuta tena mchango! Na ukuangalia kwa makini hizi fedha zitaishia kuliwa tu na wajanja! Mbona bunge la katiba hawajachangisha??
Jombaa, hii ni Africa ndo maana ikawa hivo so unaposema ingekuwaje kama kenya AU america, kwanza usitupotoshe km hatujafika huko kenya wachuuzi ni wapo kama hapa Bongo na maisha is same asif tofauti ni vile wenzetu wana education life, but si kama unavodanganya watu hapa.
Kingine mie sinywi pombe ila hata wewe unaweza kaa bar jioni pia kumbuka mlevi anaheshimika sana ndiyo maana ukilewa na kutukana wanajua hiyo si akili yako ni ya pombe, but serikali inakutambua wewe ni mlipa kodi mzuri vlevle unaendeleza viwanda vya hiyo kitu. Kumbuka hili serikali yoyote duniani inakusanya mapato mengi yakigawanywa ktk nyanja kuu zile zinazopewa kipaumbele na elimu ikiwemo, humo wanajua kuna nyumba za walimu, mahabara nk, sasa baadaye kuona hazina haina pesa na kuangalia siasa inavobana as soon uchaguzi unadhani n nn kitafuata..?
Hiyo si.nzuri ya kuwabana wananchi bana.
Deni la Taifa sasa ni trilioni 30, zimefanya nini? Kwa nini wasiende kuchukua zile zilizofichwa uswizi? au hizi za IPTL zilizoibwa juzi? Juzi wamefika home kwangu wakataka elfu 60 kwa kila nyumba! Nikauliza waraka unaosema elfu 60 kwa kila nyumba uko wapi? wakaishia kunitolea mimacho; sijakaa sawa ofisini nikakuta tena mchango! Na ukuangalia kwa makini hizi fedha zitaishia kuliwa tu na wajanja! Mbona bunge la katiba hawajachangisha??
Hiv kod zetu znakaz gan?
Hivi kodi tunazolipa zinafanya nini?
Zinampeleka Profesa Kikwete Marekani, China na Vietnam. Pinda Yuko Ulaya, Nyalandu na Aunty Ezekiel Wako States wanazitafuna. Nyie walalahoi lipieni mchango wa maabara
Ukitafakari kwa makini Ulukolokwitanga unaweza kumtwanga mtu ngumi kama sio kichwa
Hapo sasa ndiyo umegusa penye tatizo la masomo ya sayansi akili Yang inasema tungekuwa na walimu wa masomo ya sayansi kwanza ndio tujenge hizi maabara lakini Nina uhakika majengo hayo ni Nyumba za popo subirini mtakuja kusema baadaye watNa hizi maabara zina walimu ambao ni wajuzi wa kuzitumia?
Hapo sasa ndiyo umegusa penye tatizo la masomo ya sayansi akili Yang inasema tungekuwa na walimu wa masomo ya sayansi kwanza ndio tujenge hizi maabara lakini Nina uhakika majengo hayo ni Nyumba za popo subirini mtakuja kusema baadaye wat
u wote tumekuwa misukule tunatumia matumbo kufikiri