A asakuta same JF-Expert Member Mar 1, 2011 14,829 5,029 Jun 14, 2013 #21 yakufikirika zaidi hii!!!!!!!!!!!!
Twande JF-Expert Member Dec 31, 2009 543 174 Jun 15, 2013 Thread starter #22 The Boss said: hujaambo?ungenimiss kweli ningejuahuu uzushi huu Click to expand... Nimekumiss bwana na leo nitakuwa mgeni wako utathibisha hilo. .
The Boss said: hujaambo?ungenimiss kweli ningejuahuu uzushi huu Click to expand... Nimekumiss bwana na leo nitakuwa mgeni wako utathibisha hilo. .
The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,110 115,899 Jun 16, 2013 #23 Twande said: Nimekumiss bwana na leo nitakuwa mgeni wako utathibisha hilo. . Click to expand... we mzushi nshakuzoea..
Twande said: Nimekumiss bwana na leo nitakuwa mgeni wako utathibisha hilo. . Click to expand... we mzushi nshakuzoea..
mesm2015 Member Sep 21, 2011 22 23 Jun 16, 2013 #24 hii ni stori ya kufikirika tu! itengenezewe movie ili ionekane ina "uhalisia"!
kemashafe Senior Member Mar 25, 2013 136 57 Jun 17, 2013 #25 uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii majanga kama una presha lazima wakumwagie maji
K Karug JF-Expert Member Apr 2, 2012 334 96 Jun 18, 2013 #26 Unamrukia mdingi na kumbusu ukijifanya umefurahi kumfahamu baba wa mpenzi wako! Hii itaua soo na mama utamwamkia kwa kupiga goti hadi chini. Wengine unawapotezea, mpango mzima unabaki kwa wawili (baba na mwana)
Unamrukia mdingi na kumbusu ukijifanya umefurahi kumfahamu baba wa mpenzi wako! Hii itaua soo na mama utamwamkia kwa kupiga goti hadi chini. Wengine unawapotezea, mpango mzima unabaki kwa wawili (baba na mwana)