A asakuta same JF-Expert Member Joined Mar 1, 2011 Posts 14,829 Reaction score 5,039 Jun 14, 2013 #21 yakufikirika zaidi hii!!!!!!!!!!!!
Twande JF-Expert Member Joined Dec 31, 2009 Posts 543 Reaction score 174 Jun 15, 2013 Thread starter #22 The Boss said: hujaambo?ungenimiss kweli ningejuahuu uzushi huu Click to expand... Nimekumiss bwana na leo nitakuwa mgeni wako utathibisha hilo. .
The Boss said: hujaambo?ungenimiss kweli ningejuahuu uzushi huu Click to expand... Nimekumiss bwana na leo nitakuwa mgeni wako utathibisha hilo. .
The Boss JF-Expert Member Joined Aug 18, 2009 Posts 49,320 Reaction score 117,611 Jun 16, 2013 #23 Twande said: Nimekumiss bwana na leo nitakuwa mgeni wako utathibisha hilo. . Click to expand... we mzushi nshakuzoea..
Twande said: Nimekumiss bwana na leo nitakuwa mgeni wako utathibisha hilo. . Click to expand... we mzushi nshakuzoea..
mesm2015 Member Joined Sep 21, 2011 Posts 22 Reaction score 23 Jun 16, 2013 #24 hii ni stori ya kufikirika tu! itengenezewe movie ili ionekane ina "uhalisia"!
kemashafe Senior Member Joined Mar 25, 2013 Posts 138 Reaction score 59 Jun 17, 2013 #25 uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii majanga kama una presha lazima wakumwagie maji
K Karug JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 334 Reaction score 96 Jun 18, 2013 #26 Unamrukia mdingi na kumbusu ukijifanya umefurahi kumfahamu baba wa mpenzi wako! Hii itaua soo na mama utamwamkia kwa kupiga goti hadi chini. Wengine unawapotezea, mpango mzima unabaki kwa wawili (baba na mwana)
Unamrukia mdingi na kumbusu ukijifanya umefurahi kumfahamu baba wa mpenzi wako! Hii itaua soo na mama utamwamkia kwa kupiga goti hadi chini. Wengine unawapotezea, mpango mzima unabaki kwa wawili (baba na mwana)