cement
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 581
- 218
Dah hii imetokea muda si mrefuu hapo kiluvya stand wakati wanafunzi wa sekondari wanasubili usafiri,mara akaja kichaa inasemekana ni mpiga debe na kuanza kuwatimua wakaaanza kukimbia hovyo huku na huko wengine wakikoswa koswa na magari barabarani,mwisho akakkwapua kisu cha muuza machungwa kaanza kuwachoma hovyo wanafunzi aliowakaribia na kusababisha wengine kupoteza uhai hii ni mbaya sana ni kitu cha hatari sana hiki!