tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 534
Wana JF naomba kuuliza na labda kuna watu wengine pia wangependa kujua.
Mkuu kibweka ni mtu wa namna gani?
1:Ni mpole sana au mkali.
2:Ni mtundu au mkimya.
3:Ni mcheshi au mkimya.
4:NI mpweke au ni mtu wa watu.
5:Ni mtu wa totos au la.
Simuongelei kwa mabaya na asinichulie ubaya.Ni post zake zinafurahisha na zaina moja.
Mkuu kibweka tunasubiri picha za lala salama.Asante.
Mkuu kibweka ni mtu wa namna gani?
1:Ni mpole sana au mkali.
2:Ni mtundu au mkimya.
3:Ni mcheshi au mkimya.
4:NI mpweke au ni mtu wa watu.
5:Ni mtu wa totos au la.
Simuongelei kwa mabaya na asinichulie ubaya.Ni post zake zinafurahisha na zaina moja.
Mkuu kibweka tunasubiri picha za lala salama.Asante.