nawasiwasi na slave atakuwa amezisambaza honey
aaagh wapi unamsingizia tu Slave alizipatajepataje bila ushirikiano wako loh ngoja nikae pembeni nisijesutwa kwa matarumbeta mie.
Tutamuwekea vikwazo,marufuku kuingia ndani akiwa anafagia nje na kumwagilia bustani.
Baba v hajui kupenda kwanza. Kuna demu alimzimikia kufa na kupona hata hivyo akampiga chini.
Khaaa... Na wewe unashabikia??
kweli my love, ikibidi tumfukuze kazi kabisaa...
sitaki kufuru kwenye thread yangu..Pumbaf sana. Kwa hasira natokomea tena kwa muda mrefu kwa likizo ya mkono sweta. Sikutaki tena sikupendi pia. Karibu makaburini, nimekuandalia makao marehemu mwenzangu. Kwaherini wanadunia, mtakuja tu. Mnabisha? Muulizeni mangwea......