KIBUTI CHA Baba V a.k.a mwenyekiti

KIBUTI CHA Baba V a.k.a mwenyekiti

kila siku redio na tv zinakula umeme wa bure kutangaza umuhimu wa kinga.......badili tabia.

Hivi Radio na TV zimegradyueti chuo gani cha utabibu? Muhimbili au IMTU?
 
Hiki kibuti mbona umekitoa wakati mwenyewe katiwa selo ya JF???
 
Hiki kibuti mbona umekitoa wakati mwenyewe katiwa selo ya JF???

huyu baba mke na hawara zake wana tabu aiseh mume kila siku yuko selo dah nawapa pole,hiki kibuti atakikuta tu hivi maaskari wa selo wamempa cheo cha unyampala nini maana si bure Baba V kazidi.
 
Last edited by a moderator:
nitake radhi,umeshindwa kulipa bill JB Belmount umehamia huku uwiiiiii

niko kwenye kusakata rumba sasa hivi nimekamatia kiuno cha everlyn Salt
 
Last edited by a moderator:
niko kwenye kusakata rumba sasa hivi nimekamatia kiuno cha everlyn Salt

aaagh wapi ukamate kiuno cha mtoto mrembo ukumbuke kuchart jf ,unakijua kiuno au unakisikia.
 
nitake radhi,umeshindwa kulipa bill JB Belmount umehamia huku uwiiiiii

niko kwenye kusakata rumba sasa hivi nimekamatia kiuno cha everlyn Salt
 
Last edited by a moderator:
aaagh wapi ukamate kiuno cha mtoto mrembo ukumbuke kuchart jf ,unakijua kiuno au unakisikia.

nimepumzika kidogo thats why niko jeiyefu, Baba V anaweza kukufanyia kitu mbaya maana umemdhalisha sana
 
Last edited by a moderator:
aaagh wapi ukamate kiuno cha mtoto mrembo ukumbuke kuchart jf ,unakijua kiuno au unakisikia.

nimepumzika kidogo thats why niko jeiyefu, Baba V anaweza kukufanyia kitu mbaya maana umemdhalisha sana
 
Last edited by a moderator:
aaagh wapi ukamate kiuno cha mtoto mrembo ukumbuke kuchart jf ,unakijua kiuno au unakisikia.

nimepumzika kidogo thats why niko jeiyefu, Baba V anaweza kukufanyia kitu mbaya maana umemdhalisha sana
 
Last edited by a moderator:
mi sijui dawa yake bana, we hangaika nao tu........
Pumbaf sana. Kwa hasira natokomea tena kwa muda mrefu kwa likizo ya mkono sweta. Sikutaki tena sikupendi pia. Karibu makaburini, nimekuandalia makao marehemu mwenzangu. Kwaherini wanadunia, mtakuja tu. Mnabisha? Muulizeni mangwea......
 
we acha tu eti alikuja na sera za kutumia cheo chake akahisi atapata kitu lakini akaambulia patupu.
mhhh Baba V unatupa mashaka sisi tunaotaka utufungishe ndoa na wake zetu tutatoa hoja uvuliwe uenyekiti maana unautumia kwa maslahi binafsi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom