Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,345
Kama kaolewa kaokoka kweli toka kwenye makucha ya waonjaji kama Muuza Sura lol!
acha tu!mwenyewe nilikolea nilitaka nichukue jumlajumla wakati najipanga watu walishajipanga kitambo!......kibuti huja kuuma zaidi pale raia wanapojua mzee umepigwa cha mbavu!yaani kama hii ndoa haikuwa siri basi raia waliongea sana!kuna dada nilimmind sana aliniambia sura hailipi bill watu wanataka mshiko mwenye kisu kikali ndo atakula nyama