Kibuti ambacho hutakaa ukisahau!

Kibuti ambacho hutakaa ukisahau!

"Jitu lenyewe haliko romantic, liache likafie mbele".Mambo ya loud speaker hayoo,baada ya kuona mambo hayaendi sawa nikaona nimfate shosti ake nijue nini tatizo kufika naambiwa kapata kibwana kingine hivyo sina changu ili kunithibitishia kampigia kamuweka loud demu wacha atapike shombo.Nikajipiga kibuti mwenyewe.

Hahahaaaaa! Nimecheka kama mazuri
 
dah mm nlipgwa kbuti ksa nlimdanganya kuwa mm npo mwaka wa kwanza nachukua BAF mzumbe kumbe nlikuwa a level mzumbe sec mana alinikuta nimepanga mstari dining shulen kuchukua ngama a.k.a ugali akani2mia mesej et "ckutak kama unidanganya kwa mambo madogo itakuwaje kwa makubwa'' hata ckujali mana kpnd hcho shule imechanganya nkaona her to

hahah....!!!! Ukashindwa kutumia kipaji maalum.!!!!
 
Sitosahau mwanaume niliyempenda na kumuamin kwa kila kitu lakin walikuja marafiki zake wakanieleza juu ya tabia yake nilikaataa kuamin koz na yy alikir ameacha lakin ciku zinavoenda kila nikirnda kwake nakutana na vitu vya ajabu ukimuuliza Mara vya ndugu zake mwisho nikaamua kukaa kimya mpaka Leo nampenda Huyo kaka ila nikifikiria kurud nakumbuka tabia yake then dunia ilivyo moyo unasita sitaki kurud na kilo mbili homee

Kama alikugonga basi yeye ni mshindi tu. Pole sana!
 
kwakweli binafsi kibuti ambacho sitakisahau nilipewa juzi juzi tu hapa yaan miaka kama miwili iliyo pita, inshort nilikuwa na mpnzi ambaye tulikuwa pamoja kwa kipindi cha miaka mitatu mfulilizo. mwaka wa tatu karibu na anniversary yetu ndipo alipoanza kubadilika maana tulikuwa wote ni madent wa chuo lakin tukiwa vyuo mbalimbali, kitu kilichofanya nihsi mabadiliko yake ilikuwa ni kukosa kwa hamasa juu ya siku hii ambayo miaka ya nyuma ilikuwa na hamasa sana kwake. mpaka anniversary inaisha kwakweli hali haikuwa nzuri lakin kijana nilijaribu kumvumilia tu nikiamin may b n just misukosuko ya mapenzi ya kawaida kama wapenzi wengine. lakini siku moja nikiwa nasubiri kuingia lecture simu ngeni ilipiga na nilipopokea sauti moja ya kiume ilisikika na alichosema kijana huyu ni kwamba niache kumsumbua girl friend wake na anaomba niachane naye kwani muda wangu wa kuwa naye umefika ukomo. nilijikaza nikaongea na huyu dogo mpaka mwisho, nikasema siwezi gombana na mwanaume mwenzagu kisa demu, nikasema itabidi nimwulize mhusika ili anijuze vizuri. basi baada ya lecture nilimpigia huyu mpenzi wangu na nilipomuuliza kwanza alikataa na nilipombana alikili kuwa na uhusiano na mtu huyu. nilimmind na kukata simu. siku ya pili alipiga na nilipomwuliza kwann alifanya hivyo na nn msimamo wake. alinjb kuwa ilikuwa bahati mbaya lakin asingeweza kuachana na huyo bwana kwan angemwumiza sana na hakupenda kufanya hivyo na hivyo indirect alitangaza kuachana na mimi rasmi. hk ndo kibuti ambacho sitakisahau.

Daah i feel hw u felt.. but ol z life.
 
juzi juzi tu nilikutana na hii mashine kubwa unajua wanawake waliosoma wanamatatizo sana yaani mtoto tunaongea vizuri tu nikipiga sound jibu ni moja "Am sorry" huku ananitazama usoni akitabasamu tukibadili story anaongea vizuri sana nikimleta huku jibu ni lile lile "Am sorry kilaza" Dah najibaraguzaaa weeee jibu ni lile lile"Am sorry " "Am so sorry" badae nikimpigia anapokea Fresh tu thnachat vizuri hadi mida mibaya Nikigusia kule jibu ni lile lile mara ya kwanza nikaona mzaha nikarudisha majeshi nikaenda kujipanga lakini msimamo wa Mtoto ni uleule Dah kukataliwa hivi inauma heri angenitukana au asiniongeleshe kabisa!!!!!!
 
Usisahau

*****************

Kupiga kura
Diamond Platnumz kategori 3 (tatu) - Best MALE, Best COLLABORATION na Best LIVE and Vanessa 1(moja) -- Best FEMALE

ingia kwa link hii chini

http://mama.mtv.com/voting/


Bonyeza bonyeza VOTE usichoke

******************
 
mie napenda kupewa vibuti maana ukisahapoa haiumi tena kuliko kupiga kibuti harafu kesho yake unamtamani tena na huwezi rudiana naye tena
 
Back
Top Bottom