Kibuti ambacho hutakaa ukisahau!

Kibuti ambacho hutakaa ukisahau!

kweli english ilikuja na meli,mi nachekaga nikiona jina lako "atoto", looks like kuna mtoto hawezi kuita "mtoto"

We acha tu hii lugha ya monsoon wind ni balaa, kama ulikuwepo ndio hivyo hivyo ujue "atoto" badala ya "mtoto"
 
"Jitu lenyewe haliko romantic, liache likafie mbele".Mambo ya loud speaker hayoo,baada ya kuona mambo hayaendi sawa nikaona nimfate shosti ake nijue nini tatizo kufika naambiwa kapata kibwana kingine hivyo sina changu ili kunithibitishia kampigia kamuweka loud demu wacha atapike shombo.Nikajipiga kibuti mwenyewe.
 
Back
Top Bottom