Kibonzo: Kipanya aruka na uvaaji wa barakoa

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Kwa mara nyingine Kipanya ameruka na jinsi watu walivyo badilika .

Mara baada ya mwendazake kutangulia mbele za haki sasa taifa limejikita na jinsi ya kujikinga zaidi na magonjwa ya upumuaji.


Screenshot_20210522-121554.jpg
 
Kwa mara nyingine Kipanya ameruka na jinsi watu walivyo badilika .

Mara baada ya mwendazake kutangulia mbele za haki sasa taifa limejikita na jinsi ya kujikinga zaidi na magonjwa ya upumuaji. View attachment 1793812
Mwendazake ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) alipanda Mbegu ya Kuogopwa ambayo ikikomaa huzalisha Unafiki ulioiva na Kukomaa kwa Mswahili ( Mtanzania ) ambao ndiyo unauona sasa na utaendelea Kuuona sana tu.
 
Wazee wa uhuru wa vyombo vya habari nisaidieni mbona bado hatutangaziwi vifo vinavyotokana na covid au mzimu wa J bado unakandamiza uhuru?

Tupewe takwimu kwa wiki au mwezi wanakufa watu wangapi kabla ya mahubiri ya Barakoa na chanjo
 
Mwendazake ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) alipanda Mbegu ya Kuogopwa ambayo ikikomaa huzalisha Unafiki ulioiva na Kukomaa kwa Mswahili ( Mtanzania ) ambao ndiyo unauona sasa na utaendelea Kuuona sana tu.
Na hili la uoga lilikuwa linaipeleka nchi pabaya sana. Tulikuwa tunaelekea kuzama.
 
Ndio ' Hadi naliliu'?. Nikikumbuka wale Taahira wawili WA Wizara ya Afya walivyokuwa wakiipromoti tangawizi naamini Magu alikuwa anatisha.
Siku hizi Gwajima katulia utadhani kafungwa speed governor
 
Mwendazake ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) alipanda Mbegu ya Kuogopwa ambayo ikikomaa huzalisha Unafiki ulioiva na Kukomaa kwa Mswahili ( Mtanzania ) ambao ndiyo unauona sasa na utaendelea Kuuona sana tu.
Unafiki ilikuwa Mtaji...
 
Back
Top Bottom