Kibonzo cha siasa!!

Kibonzo cha siasa!!

Nafikiri wapenzi na mashabiki wa Chadema hapa JF hamna haja ya kumshambulia Rejeo kiasi hicho, kama mkiitizama kauli au mawazo yake kwa upana zaidi yana mashiko ndani yake! Rejeo you are right you most people are curious to know the mechanism Chadema will use to control the so called "Fisadis", afterall even though it is true that curiosity killed the cat, but it is also true that the same curiosity make a good scientist! kama Chadema wanataka kufanya mambo yao kisasa zaidi wawe curious kama Rejeo, wasiwafurahie tu hawa "wana wapotevu" waliokuwa wanakula na nguruwe ugenini, na sasa wameamua kurudi kwa baba kuomba radhi, jambo wafanywe watumishi!
Thanx for this...umeliweka hili jambo vizuri sana, ni matumaini yangu CDM wataanzia hapa na kuacha kauli zao za kishabiki na kunishambulia.
 
Kinachonitatiza ni kwamba, kwanini CDM wanakurupuka kuwapokea bila hata kufanya analysis na kama kuwa interview hawa watu ili wafahamu kilichowatoa CCM ni nini? Kumbuka kama hawa watu walikuwa Tatizo ndani ya CCM na huko CDM wanaenda kuongeza matatizo tena,,

Umesahau kitu kimoja wahamiaji wamekuwa wakitoa sababu za kuhama, piaMtanzania ana haki ya kujiunga na Chama chochote bila kuzuiliwa, tatizo nadhani kumpa fursa ya kuwatumikia wananchi. Na vigumu kumhukumu mtu ilihali kwenye chama anachotoka hajafukuzwa kwa kuwa na Tabia mbaya. Ulisemalo ni changamoto sana nani alijua kwamba Shibuda utakuwa mzigo chadema? nani alijua Kafurila ataendeleza tabia zilizo muondoa Chadema? Rejao tuiombee chadema isije ikawa ni hujuma nyingine dhidi yao
 
Mkuu Rejao, hao members wapya waliojiunga na Chadema watakuwa automatically controlled na sheria, kanuni na taratibu za chama. Atakayekiuka sheria atakuwa fired soon as possible.
 
Tazama ya kale yamepita,sasa ni kiumbe kipya,Tazama ilivyo vema ndugu waishi pamoja kwa utegemano. Biblia yangu iko mbali ila watakuja wana JF kuweka sawa inatoka vitabu gani
 
Rejao hiyo confusion isije ikawa umechakachuliwa na magamba?
 
Mtu akiwa ndani ya CCM anaonekana Fisadi....
Mtu huyo huyo anayeonekana Fisadi akiwa ndani ya CCM akihamia CDM anaonekana msafi...

:bange::A S-coffee::A S-confused1:


Mimi naona labda ungetoa mifano ili tujue fisadi gani katoka CCM kaingia CDM na kuonekana sio fisadi.
Hii itatoa mwanga zaidi na kuipa ukweli thread hii.
Funguka zaidi kwa mifano hai.
 
Umesahau kitu kimoja wahamiaji wamekuwa wakitoa sababu za kuhama, piaMtanzania ana haki ya kujiunga na Chama chochote bila kuzuiliwa, tatizo nadhani kumpa fursa ya kuwatumikia wananchi. Na vigumu kumhukumu mtu ilihali kwenye chama anachotoka hajafukuzwa kwa kuwa na Tabia mbaya. Ulisemalo ni changamoto sana nani alijua kwamba Shibuda utakuwa mzigo chadema? nani alijua Kafurila ataendeleza tabia zilizo muondoa Chadema? Rejao tuiombee chadema isije ikawa ni hujuma nyingine dhidi yao
Nikiangalia Viongozi wengi waliopo CDM kwa sasa ni wale walioshindwa ndani ya CCM. Ukiangalia mfano Dr Slaa, the way anavyo act ni kama vile ana kisasi na chuki na CCM kwasababu ya kutoswa. Siyo kwamba ana machungu na nchi yake. Ukiangalia watu kama akina Shibuda kama ulivyosema, wengi wameingia CDM baada ya kuwa losers ndani ya CCM.
 
Mimi naona labda ungetoa mifano ili tujue fisadi gani katoka CCM kaingia CDM na kuonekana sio fisadi.
Hii itatoa mwanga zaidi na kuipa ukweli thread hii.
Funguka zaidi kwa mifano hai.
Katibu wenu mkuu kafisadi sana kanisa katoliki...
 
Nikiangalia Viongozi wengi waliopo CDM kwa sasa ni wale walioshindwa ndani ya CCM. Ukiangalia mfano Dr Slaa, the way anavyo act ni kama vile ana kisasi na chuki na CCM kwasababu ya kutoswa. Siyo kwamba ana machungu na nchi yake. Ukiangalia watu kama akina Shibuda kama ulivyosema, wengi wameingia CDM baada ya kuwa losers ndani ya CCM.
Irrelevant examples!
 
Magugu (fisadi) bila source ya chakula (CCM) yanakufa..,
Kill CCM utapunguza Ufisadi (sababu source za Ufisadi zinapungua)
 
Nikiangalia Viongozi wengi waliopo CDM kwa sasa ni wale walioshindwa ndani ya CCM. Ukiangalia mfano Dr Slaa, the way anavyo act ni kama vile ana kisasi na chuki na CCM kwasababu ya kutoswa. Siyo kwamba ana machungu na nchi yake. Ukiangalia watu kama akina Shibuda kama ulivyosema, wengi wameingia CDM baada ya kuwa losers ndani ya CCM.

Kama nimekupata vizuri unachosema ni:-
Kuwa 'loser' au kutoswa = kuwa fisadi.
 
Katibu wenu mkuu kafisadi sana kanisa katoliki...

Hapo napo labda utoe mifano ya jinsi alivyo-fisadi kanisa katoliki.
Maana baada ya kutoka kuwa padre, alikuwa mwana-CCM mpaka mwaka 1995 alipojiunga CDM.
Kwa maana hiyo, wewe unasema CCM (kama kawaida yake) ilikubaliana na 'fisadi' huyo mpaka alipoamua mwenyewe kutoka.
 
Mtu akiwa ndani ya CCM anaonekana Fisadi....
Mtu huyo huyo anayeonekana Fisadi akiwa ndani ya CCM akihamia CDM anaonekana msafi...

:bange::A S-coffee::A S-confused1:

Tumia akili kudogo mkuu,
Ujio wa Deo Filikunjombe CDM hauwezi kua sawa na ujio wa Lusinde!!!
 
Unaona mnaanza kujikaanga wenyewe. Mimi sijamtaja mtu yeyote. Nataka tu kufahamu msimamo wa CDM kwa the so called Fisadi's tuanowafukuza kwenye chama chetu... Naona baadhi wanapokelewa kwa mbwembwe sana

Rejao

Hivi unaweza kunipa mfano wa mwanachama yeyote mliyewahi kumfukuza katika chama chenu?
 
Mtu akiwa ndani ya CCM anaonekana Fisadi....
Mtu huyo huyo anayeonekana Fisadi akiwa ndani ya CCM akihamia CDM anaonekana msafi...

:bange::A S-coffee::A S-confused1:
Hahaha funika kombe mkuu...kaokoka huyo anastahili kupigiwa vigeregere... hahaha
 
Back
Top Bottom