Kibonzo cha Kipanya 02/01/2020 Tanzania imerusha “setilaiti” ya kwanza na USA yaomba msaada Tanzania

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
1609670811637.png
 
Hatimaye Tanzania ya iwekea vikwazo vya kiuchumi jamuhuri ya uchina kutokana na madeni mengi wanayoidai jamhuri hiyo😹
 
Kwa jicho la haraka hii ni dhihaka kwa CCM na Serikali yake.

Ukitizama kwa undani hii ni dhihaka kwa Watanzania na wote wenye asili ya Tanzania. Nafikiri sio hekima maana wapo Watanzania makini ambao wana intelligence na intellectual ability kuliko hao Americans tunaowashabikia. Chinese walikataa kuabudu Wamarekani ndio maana maendeleo yao yanapaa. Kwa nini Watanzania wasijiwekee dhamira kama Wachina?

#MindSet
 
Kwa jicho la haraka hii ni dhihaka kwa CCM na Serikali yake.

Ukitizama kwa undani hii ni dhihaka kwa Watanzania na wote wenye asili ya Tanzania. Nafikiri sio hekima maana wapo Watanzania makini ambao wana intelligence na intellectual ability kuliko hao Americans tunaowashabikia. Chinese walikataa kuabudu Wamarekani ndio maana maendeleo yao yanapaa. Kwa nini Watanzania wasijiwekee dhamira kama Wachina?

#MindSet
Huo uhuru wa kumchagua kiongozi wanaemtaka tu Watanzania hawana. Ninadhani jamani aibu ianzie hapo.
 
Huo uhuru wa kumchagua kiongozi wanaemtaka tu Watanzania hawana. Ninadhani jamani aibu ianzie hapo.

Usemavyo ni kweli. Lakini haiondoi ukweli kwamba tunao Watanzania intelligent intelligent kuliko hao Wamarekani wanaoongozwa na Donald Trump.

Hata hivyo siwezi kukataza mtu yeyote anayeona Watanzania wote kuwa ni watu mbumbumbu. Niwezacho kufanya ni kutoa angalizo kuwa WaTZ wako vizuri, mifumo ya kiutawala pengine ndio kikwazo.
 
Usemavyo ni kweli. Lakini haiondoi ukweli kwamba tunao Watanzania intelligent intelligent kuliko hao Wamarekani wanaoongozwa na Donald Trump.

Hata hivyo siwezi kukataza mtu yeyote anayeona Watanzania wote kuwa ni watu mbumbumbu. Niwezacho kufanya ni kutoa angalizo kuwa WaTZ wako vizuri, mifumo ya kiutawala pengine ndio kikwazo.
Misingi ya Tanu ilisema ili tuendelee tunahitji
Watu, Ardhi Elimu, Siasa safi na uwongozi bora.
Kabla ya uhuru ardhi yetu ilitumiwa vyema, ilizalisha ajira na tulipeleka bidhaa nje.
Sasa hivi tuna ardhi lakini haitumiki zaidi ya viongozi kujimilikisha maekari
 
Misingi ya Tanu ilisema ili tuendelee tunahitji
Watu, Ardhi Elimu, Siasa safi na uwongozi bora.
Kabla ya uhuru ardhi yetu ilitumiwa vyema, ilizalisha ajira na tulipeleka bidhaa nje.
Sasa hivi tuna ardhi lakini haitumiki zaidi ya ziongozi kujimilikisha maekari z.
Mapungufu kwenye utawala na utendaji wa serikali ni mengi na yanajulikana.

Changamoto ni kutafuta suluhisho ya mapungufu hayo. Sidhani ni jukumu la mtu ama kikundi fulani. It's more of a struggle for engagement and disengagement.
 
Usemavyo ni kweli. Lakini haiondoi ukweli kwamba tunao Watanzania intelligent intelligent kuliko hao Wamarekani wanaoongozwa na Donald Trump.

Hata hivyo siwezi kukataza mtu yeyote anayeona Watanzania wote kuwa ni watu mbumbumbu. Niwezacho kufanya ni kutoa angalizo kuwa WaTZ wako vizuri, mifumo ya kiutawala pengine ndio kikwazo.

Fuatilia post zake huyu, utagundua kuwa unapoteza muda wako, huyu ni Eurocentric mweusi aka Afro pessimist
 
Back
Top Bottom