asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Mapenzi ya kibongo ni wizi wizi tu , kuwa nao zaidi ya mmoja uone rangi zote.
King Solomon!!Si mtalaamu wa biblia lakini mfalme suleimani alikuwa ni mtu mwenye hekima na busara na mwenyezi mungu alimpenda sana ila ss alikuwa na wake 700na masuria aka nyumba ndogo 300 jumla ya wanawake 1000 mwisho wa picha aliona ni ubatili mtupu na kujilisha upepo chini ya jua! Kila mwanaume awe na mke mmoja! Km unataka balaa jaribu kumiliki wapenzi wawili!
michepuko tunaihudumia kuliko wake zetu na watoto waoHuyo mke mmoja tu anakuhenyesha na jinsi maisha yalivyokuwa too expensive... utaweza..!!! au wataka zeeka kabla ya wakati... mtoto mdogo Babu
Unamke mmoja alafu vimada kibao sibora ulaliashe hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja tusidanganyane hapa
Vimada ni tofauti na mke. Kimada akizingua huitaji hata kushauriwa na mtu wala vikao vya usuluhishi,unamuacha tu.Unamke mmoja alafu vimada kibao sibora ulaliashe hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja tusidanganyane hapa
Mke mmoja na wala husafiri na ana vibuzi kibaouna wawili na shughuli zako za kusafiri safiri
na wote wanatafuta vibuzi nje...