Mwenye uwezo msimzuiee!!Huyo mke mmoja tu anakuhenyesha na jinsi maisha yalivyokuwa too expensive... utaweza..!!! au wataka zeeka kabla ya wakati... mtoto mdogo Babu
Mababu zetu walikuwa na maana sana kuoa wake wengi sisi wanaume miili tofauti na wanawake sasa kukaa na mke mmoja ni kujitesa inatakiwa tuwe tunaoa wake kuanzia wawili na kuendelea kama una uwezo.
Mababu zetu walikuwa na maana sana kuoa wake wengi sisi wanaume miili tofauti na wanawake sasa kukaa na mke mmoja ni kujitesa inatakiwa tuwe tunaoa wake kuanzia wawili na kuendelea kama una uwezo.