masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 15,703
- 12,497
Hiki kitu ni hatariiii sana.
Yaani kisikie sehemu tu..usijaribu.
Daah
Ngoja nitaendelea kuandika
Yaani kisikie sehemu tu..usijaribu.
Daah
Ngoja nitaendelea kuandika
usitutishe, hujui hata kinafanyaje kaziUsiendelee kuandika bali endelea kukichezea!
Siku kiking'ang'ania kwenye hiyo sehemu ya haja, ndio utajua tumbo hujaa maji kwa sekunde 3⅔.
Umeshapigwa miti sana Imefikia Wakati hausikii radha yake sasa umehamia kwenye Kabomba.Hiki kitu ni hatariiii sana.
Yaani kisikie sehemu tu..usijaribu.
Daah
Ngoja nitaendelea kuandika
Sijaongea kuhusu radha hahah ladha wala miti sijui wewe umeyatoa wapiUmeshapigwa miti sana Imefikia Wakati hausikii radha yake sasa umehamia kwenye Kabomba.
Ahaa, kumbe mnavitegeshea kiupandeupande sio?usitutishe, hujui hata kinafanyaje kazi
Hahshshaa sehemu ya haja tenaUsiendelee kuandika bali endelea kukichezea!
Siku kiking'ang'ania kwenye hiyo sehemu ya haja, ndio utajua tumbo hujaa maji kwa sekunde 3⅔.
HahahaahahahaAcha kunyetuka wanaume tumejaa
Hhaahhahashs acha kabisaTutaving'oa vyote tuweke makopo ya blueband sasa😀😀😀
Subirini ninalize kuandikaOhoooooo!! Unataka kusema kile kidude kimekukula?
Wapigachabo tunajuaHahshshaa sehemu ya haja tena
Jamani mnajuaje vinatumika huko?
Mi sijaandika chochote