Jebel
JF-Expert Member
- Jul 10, 2021
- 306
- 2,041
Salaam;
Siyo vibaya kukumbushana mambo kadhaa katika maisha haya. Hapa simfundishi mtu jinsi ya kuishi, simzuii mtu kitu cha kufanya na wala simshawishi mtu kipi afanye.
Haya twende kwenye hoja.
1. Usijaribu kufanyia mapenzi ofsini kwako. Yaani iwe umeajiriwa usijaribu kumpeleka mchepuko wako ofsini kwako na kuzini naye. Mbaya zaidi kama umejiajiri usijaribu kufanyia mapenzi ofsini kwako. USIJARIBU UTANIKUMBUKA
2. Usijaribu kufanyia mapenzi kwenye gari lako au chombo chako cha usafiri. Ndugu usijaribu. Ukishupaza shingo usijeshangaa kila uchwao upo gereji. Usijaribu Utanikumbuka.
3. Usijaribu kufanyia mapenzi na mchepuko kwenye kitanda chako na mkeo au mmeo. Kama unaogopa mikosi na nuksi zinazoweza kuvunja ndoa yako basi usijaribu. Utakuja nikumbuka
4. Usijaribu kuruhusu mwenza wako athibitishe kwamba unachepuka. Ndugu usirogwe ukaruhusu jambo hili. Kama kabisa umeshindwa kujizuia kuchepuka basi tumia akili sana walau abakie na doubt tu asije confirm. Kama huna akili ya kumfanya asithibitishe basi usichepuke. Utakuja nikumbuka.
5. Usijaribu kufanya mapenzi na mwenza wako(hasa mkeo) mara utokapo kuchepuka kabla hujaoga. Maji yanaondoa nuksi na mikosi. Usijaribu hata kumbeba mwanao unapotoka kuchepuka kabla hujaoga. Utakuja nikumbuka.
6. Usijaribu kuchepuka na jirani yako. Hapa wahenga wasema, “ukitaka kujisaidia basi nenda porini mbali ukijisaidia ndani kinyesi kitakutesa mwenyewe”. Ndugu ukitaka kunya basi kanye mbali na kwako. Utakujanishukuru.
7. No matter ni mzuri kiasi gani, DADA YA KAZI wengine wasema beki tatu wengine wawaita namba saba. Rafiki usijerogwa ukamtafuna. Kama unapenda ndoa yako mwache tu wale wengine. Utakuja nikumbuka.
8. Ndugu yeyote wa mkeo au mmeo kaa naye mbali, usije kula au ukakubali kuliwa. Utakuja nikumbuka
Yapo mengi ila kwa jioni hii ni hayo tu
La Aquila non capit muscas!
Siyo vibaya kukumbushana mambo kadhaa katika maisha haya. Hapa simfundishi mtu jinsi ya kuishi, simzuii mtu kitu cha kufanya na wala simshawishi mtu kipi afanye.
Haya twende kwenye hoja.
1. Usijaribu kufanyia mapenzi ofsini kwako. Yaani iwe umeajiriwa usijaribu kumpeleka mchepuko wako ofsini kwako na kuzini naye. Mbaya zaidi kama umejiajiri usijaribu kufanyia mapenzi ofsini kwako. USIJARIBU UTANIKUMBUKA
2. Usijaribu kufanyia mapenzi kwenye gari lako au chombo chako cha usafiri. Ndugu usijaribu. Ukishupaza shingo usijeshangaa kila uchwao upo gereji. Usijaribu Utanikumbuka.
3. Usijaribu kufanyia mapenzi na mchepuko kwenye kitanda chako na mkeo au mmeo. Kama unaogopa mikosi na nuksi zinazoweza kuvunja ndoa yako basi usijaribu. Utakuja nikumbuka
4. Usijaribu kuruhusu mwenza wako athibitishe kwamba unachepuka. Ndugu usirogwe ukaruhusu jambo hili. Kama kabisa umeshindwa kujizuia kuchepuka basi tumia akili sana walau abakie na doubt tu asije confirm. Kama huna akili ya kumfanya asithibitishe basi usichepuke. Utakuja nikumbuka.
5. Usijaribu kufanya mapenzi na mwenza wako(hasa mkeo) mara utokapo kuchepuka kabla hujaoga. Maji yanaondoa nuksi na mikosi. Usijaribu hata kumbeba mwanao unapotoka kuchepuka kabla hujaoga. Utakuja nikumbuka.
6. Usijaribu kuchepuka na jirani yako. Hapa wahenga wasema, “ukitaka kujisaidia basi nenda porini mbali ukijisaidia ndani kinyesi kitakutesa mwenyewe”. Ndugu ukitaka kunya basi kanye mbali na kwako. Utakujanishukuru.
7. No matter ni mzuri kiasi gani, DADA YA KAZI wengine wasema beki tatu wengine wawaita namba saba. Rafiki usijerogwa ukamtafuna. Kama unapenda ndoa yako mwache tu wale wengine. Utakuja nikumbuka.
8. Ndugu yeyote wa mkeo au mmeo kaa naye mbali, usije kula au ukakubali kuliwa. Utakuja nikumbuka
Yapo mengi ila kwa jioni hii ni hayo tu
La Aquila non capit muscas!