Annie X6
JF-Expert Member
- Mar 16, 2023
- 405
- 751
Mimi kama mama. Naomba waziri waa mbie waache visa vyao, wanapogombana wao kwa wao anayeumia ni mama. Wasichana wadogo wanabakwa, wakinamama tunadhalilika. Jamani tuoneeni huruma mpate uongofu wa Mungu.
Hawa watu waache kumtesa mwanamke. Imetosha baasi.
Haiwezekani nadamka asb kuchota maji, naagiza boda apeleke maji nyumbani kuna watoto akiwabaka?
Nahangaika jioni kusaka maji hiki ni kitu gani jamani
Hawa watu waache kumtesa mwanamke. Imetosha baasi.
Haiwezekani nadamka asb kuchota maji, naagiza boda apeleke maji nyumbani kuna watoto akiwabaka?
Nahangaika jioni kusaka maji hiki ni kitu gani jamani