KERO Waziri wa Maji jitokeze huko uliko uagize Tabata Kinyerezi wafunguliwe maji

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Annie X6

JF-Expert Member
Mar 16, 2023
405
751
Mimi kama mama. Naomba waziri waa mbie waache visa vyao, wanapogombana wao kwa wao anayeumia ni mama. Wasichana wadogo wanabakwa, wakinamama tunadhalilika. Jamani tuoneeni huruma mpate uongofu wa Mungu.

Hawa watu waache kumtesa mwanamke. Imetosha baasi.

Haiwezekani nadamka asb kuchota maji, naagiza boda apeleke maji nyumbani kuna watoto akiwabaka?

Nahangaika jioni kusaka maji hiki ni kitu gani jamani
 

Attachments

  • IMG-20240215-WA0011.jpg
    IMG-20240215-WA0011.jpg
    79 KB · Views: 1
Unatoa wapi guts za kumuita ”muheshimiwa” mtu aliyeshindwa kusimamia kazi zake vizuri ili wewe upate huduma fulani?

Unaijua thamani ya heshima?
 
Nani hao wanaogombana mkuu
Leo asb katika kipindi cha Station moja ya redio nilishuhudia wanachi wa saranga wakivutana na chama cha Mapinduzi ngazi za chini-nadhani kuna conflict hapo. Sasa wasitungize ssisi raia. Tunamuamini mama samia. Wamuache afsnye kazi. Tunaomba huduma ya maji baaasi
 
Mimi kama mama. Naomba waziri waa mbie waache visa vyao, wanapogombana wao kwa wao anayeumia ni mama. Wasichana wadogo wanabakwa, wakinamama tunadhalilika. Jamani tuoneeni huruma mpate uongofu wa Mungu.

Hawa watu waache kumtesa mwanamke. Imetosha baasi.

Haiwezekani nadamka asb kuchota maji, naagiza boda apeleke maji nyumbani kuna watoto akiwabaka?

Nahangaika jioni kusaka maji hiki ni kitu gani jamani
Tatizo ni ccm acheni kuchagua ccm pia wa mama ndio mnakua wa kwanza kupewa kofia na vitenge tulieni dawa iwaingie vizuri.
 
Tatizo ni ccm acheni kuchagua ccm pia wa mama ndio mnakua wa kwanza kupewa kofia na vitenge tulieni dawa iwaingie vizuri.
Maji ni tatizo kubwa sana kwa wakazi wa Dar. Huku Mpiji Magoe Toka Januari 2024 hakuna maji. Tukiuliza DAWSA hawatoi majibu ya kueleweka
 
Morogoro yapata mwezi sasa hakuna maji na mvua zinanyesha hadi zinaua watu
 
Morogoro yapata mwezi sasa hakuna maji na mvua zinanyesha hadi zinaua watu
 
Back
Top Bottom