moja mbili tatu
Member
- Mar 27, 2024
- 37
- 104
Wakuu...baada ya kupata iftr nikasema ngoja nisogea hapo baa mdogomdogo niangalia simba na Al ahly...
Nimefika nimetoa buku tano ili muhudumu anirudishie chenchi baada ya kununua maji..yule dada kaja na maji anasema nimempa buku...daah aisee nimeumia Sana Wala Sina sababu ya kumsingizia...moyo unauma mpka nashindwa kuandika dadeki...nimewaambia Sina Nia ya kuwagombanisha na kazi yenu.. anyway
Ulishawahi kukutana na changamoto ya namna hii unabakia kuwa hueleweki na hivyo unakuta hujui kuongea unabakia unawaangalia tu
Nimefika nimetoa buku tano ili muhudumu anirudishie chenchi baada ya kununua maji..yule dada kaja na maji anasema nimempa buku...daah aisee nimeumia Sana Wala Sina sababu ya kumsingizia...moyo unauma mpka nashindwa kuandika dadeki...nimewaambia Sina Nia ya kuwagombanisha na kazi yenu.. anyway
Ulishawahi kukutana na changamoto ya namna hii unabakia kuwa hueleweki na hivyo unakuta hujui kuongea unabakia unawaangalia tu