Kiboko ya walimbwende

Kiboko ya walimbwende

Ukiambiwa tafta pesa ule vinono ndio hivyo mzee baba! Toto lina lips tamu balaa yani sipati picha huko jikoni itakuwaje ila tamu sana
Daah aisee kazi imesimamia ukucha kiukweli, mkubwa anaenda kujilia vinono

Msosi wa maana ila mazingira ya kula kama umeiba mzee unakua hufaidi diko vizuri
 
Daah aisee kazi imesimamia ukucha kiukweli, mkubwa anaenda kujilia vinono

Msosi wa maana ila mazingira ya kula kama umeiba mzee unakua hufaidi diko vizuri
Hahahah mwamba anaenda kumenya tunda, kama uliskiaga “Kambi popote” basi ndio hivyo yani!
 
😂😂😂inafurahisha sana extro una vituko
 
Jamaa ni limtu la pori pori tu huko ila mademu wanajipeleka wenyewe,
Unaweza kukuta jamaa ni Mkata mkaa tu,


Pesa iheshimiwe.
🤣🤣
 
Back
Top Bottom