J jembe12 Member Oct 18, 2012 58 7 Oct 25, 2012 #1 wale ndugu zangu wanye fangas sugu na miwasho isiyo koma,vipele,chunusi,ngozi ngumu kupindukia dawa hyo hpo chini find me ma email jembe86@gmail.com Attachments soap.jpg 5.6 KB · Views: 419
wale ndugu zangu wanye fangas sugu na miwasho isiyo koma,vipele,chunusi,ngozi ngumu kupindukia dawa hyo hpo chini find me ma email jembe86@gmail.com
patricia Kichao Member Oct 15, 2012 27 2 Oct 25, 2012 #2 hii sabani inafaa hata kwa watoto wa 4 years?
J jembe12 Member Oct 18, 2012 58 7 Oct 25, 2012 Thread starter #3 Yaah inafaa mkuu hyo kwa umri wowote haina madhara,unapigia ata mswaki hyo
COURTESY JF-Expert Member Jun 16, 2011 2,006 706 Oct 25, 2012 #4 tuelekeze unapatikana wapi na unauza sh ngapi?email za nini humu?
Pelham 1 JF-Expert Member Feb 29, 2012 548 99 Oct 25, 2012 #5 jembe12 said: wale ndugu zangu wanye fangas sugu na miwasho isiyo koma,vipele,chunusi,ngozi ngumu kupindukia dawa hyo hpo chini find me ma email jembe86@gmail.com Click to expand... Yeah upatikana wapi Tupe namba kama kweli upo kibiashara Maelezo yote tupia hapa Mkuu.
jembe12 said: wale ndugu zangu wanye fangas sugu na miwasho isiyo koma,vipele,chunusi,ngozi ngumu kupindukia dawa hyo hpo chini find me ma email jembe86@gmail.com Click to expand... Yeah upatikana wapi Tupe namba kama kweli upo kibiashara Maelezo yote tupia hapa Mkuu.
Bilionea Asigwa JF-Expert Member Sep 21, 2011 16,510 28,417 Oct 25, 2012 #6 jembe12 said: Yaah inafaa mkuu hyo kwa umri wowote haina madhara,unapigia ata mswaki hyo Click to expand... du kweli biashara matangazo........
jembe12 said: Yaah inafaa mkuu hyo kwa umri wowote haina madhara,unapigia ata mswaki hyo Click to expand... du kweli biashara matangazo........
J jembe12 Member Oct 18, 2012 58 7 Oct 25, 2012 Thread starter #7 Yaah mkuu imetengenezewa na asali datz y can use it mkuu unaweza nipata 0773043764 muwe seriouz
Heart JF-Expert Member Nov 29, 2011 2,673 1,708 Oct 25, 2012 #8 jembe12 said: Yaah mkuu imetengenezewa na asali datz y can use it mkuu unaweza nipata 0773043764 muwe seriouz Click to expand... Nitakutafuta aisee..
jembe12 said: Yaah mkuu imetengenezewa na asali datz y can use it mkuu unaweza nipata 0773043764 muwe seriouz Click to expand... Nitakutafuta aisee..
Heart JF-Expert Member Nov 29, 2011 2,673 1,708 Oct 25, 2012 #9 mbona hiyo number haipatikani jembe???
J jembe12 Member Oct 18, 2012 58 7 Oct 25, 2012 Thread starter #10 Piga mbona wengine nmewasiliana embu call usipo nipata weka yako ntakupigia
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,787 Oct 25, 2012 #11 Dah. Umenikumbusha enzi za duka la kaya. Sabuni inapigia mswaki kama bona medi imekosekana. Hahaha. jembe12 said: Yaah inafaa mkuu hyo kwa umri wowote haina madhara,unapigia ata mswaki hyo Click to expand...
Dah. Umenikumbusha enzi za duka la kaya. Sabuni inapigia mswaki kama bona medi imekosekana. Hahaha. jembe12 said: Yaah inafaa mkuu hyo kwa umri wowote haina madhara,unapigia ata mswaki hyo Click to expand...
Zogwale JF-Expert Member Jul 10, 2008 15,287 10,842 Oct 25, 2012 #12 Yaani siku hizi mara TASLY, mara ORYFLAME Canada, mara GNLD, mara wachina at work, mara vile!! Tutakwisha!!!
Yaani siku hizi mara TASLY, mara ORYFLAME Canada, mara GNLD, mara wachina at work, mara vile!! Tutakwisha!!!
J jembe12 Member Oct 18, 2012 58 7 Oct 25, 2012 Thread starter #13 Kk mwili kma gari,linapofikia mita kazaa kutembea linakwenda gereji kuwekwa vzuri na ss ndivyo tulivo tunaitaji spaire imara ili kuimarisha miili yetu kma gari kwaiyo kuwa makini na spare utakayo enda kununua
Kk mwili kma gari,linapofikia mita kazaa kutembea linakwenda gereji kuwekwa vzuri na ss ndivyo tulivo tunaitaji spaire imara ili kuimarisha miili yetu kma gari kwaiyo kuwa makini na spare utakayo enda kununua