Nyabhakangala
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 840
- 792
Nimeshangaa polisi kubaki barabarani ila wakafanikiwa kuwauwa walioko vichakani bila ya wao kudhulika tena usiku itakuwa hao wanaozaniwa nimajambazi walikuwa wamevaa refrecta au kama sivyo labada izo wanazo ita SMG zinawaka usiku au walikuwa na tochi. bado nashangaa hao majambazi naoskiaga kwa umahili wakulenga, kuuwawa kiboya kiasi hicho.Mtu akimbilie kichakani alafu wewe umfuate kichakani/ubaki barabarani alafu wewe ndio umue kwa risasi mtu aliejificha kichakani tena bila wewe kudhurika huku ikiwa ni mida usiku!!!!
Au waliwau wakati wanakimbilia kichakani?Inawezekana kweli katika mazingira ya giza?!
kama waliwau wakati wanakimbilia kichakani,ndio kuwe na mapambano ya muda wa zaidi ya nusa saa?
Kama ni kweli, basi hao labda ni vibaka lakini sio hawa jamaa wanaouwaa kwa style hii tunayoisikia.