Kibanda: Naliona anguko la Zitto Kabwe!

Kibanda: Naliona anguko la Zitto Kabwe!

Status
Not open for further replies.
If I were you, I would have never opened my big mouth any more and spit anything out more that what I have vomited kwenye kadamnasi ya jf, mpaka baada ya vikao vyenu vya nidhamu vya ndani!.

Kwa ushauri tuu, bora ujinyamazie dada yangu, utatunza heshima yako hiyo kidogo iliyobakia!, hapo ulipo, tayari umebaki na nguo ya ndani ya chini tuu, naomba ujisetiri kwa kujikalia kimya, ili na hiyo usije ukavuliwa ukabaki ...wa mnyama!. Mwangalie mwenzako ZZK, kajinyamazia kimya!. Hata vuvuzela saa8 naye kimya!. Bora jikalie kimya kwanza ujue hatma yako ndipo uendeleze uhuru wako wa kutumia your freedom of expression!, kwa sasa Chadema inajitahidi kuwapunguza the "Lukosi type!", najua mko wengi, ila anayeondoka kimya kimya, ndiye anayeondoka kwa heshima, kuliko kupiga kelele ili kuny.a kambi ndipo atimke!.

Ni ushauri tuu!.

Pasco.
Pasco kashapotea njia hata ukimlazmisha kurudi nyuma awez kumbuka alipotokea tatzo walipitiswa vichochoro ving sana. TATIZO LA AKILI KUBWA KUONGOZWA NA AKILI NDOGO.
 
Last edited by a moderator:
zitto ana kadi moja atapotezaje imani kwa wananchi?
Kwako issue ni kuwa kadi moja tu!!
Wananchi hawajui hata maana ya kuwa na kadi bali wanaangalia unachokisimamia kwa uaminifu wako.

Tatizo la Zitto sio kuwa na kadi moja bali Undumilakuwili wake.
 
Nakubaliana na wengi kuwa umri sio kigezo cha msingi cha kuangalia bali ni uwezo wa mtu. Lakini kwa upande wangu naogopa sana kumpa uongozi mtu mwenye tabia ya unafiki, kujipendekeza na kupenda umaarufu au kutumia umaarufu wake kama njia ya kupata kile anachotaka(Blackmail). You dont have to arrongant only because wewe ni maarufu.
Suala la Uenyekiti au urais linahitaji mtu smart and wise. Tatizo la Zitto anajazwa maneno kuwa we unaweza,ni maarufu bila hata ya kufanya Critical thinking anakurupuka. Hii demokrasia tunayooiiga toka kwa wenzetu haifanywi kiholela. Hata huko kwenye vyama vyao hawakurupuki tu wakataka kugombea uenyekiti au urais. Kuna wazee na watu maalum wanaokaa na kufanya verting na kisha kumshauri mtu au kijana kugombea nafasi fulani, baada ya kuona kuna hitaji hilo. Sisi huku tunataka kwenda ovyo kwa kuvimbishana vichwa tu eti tu kwa sababu tumeambiwa demokrasia. Kwa tabia ya Zitto ilivyo hafai kupewa uenyekiti wa Chama cha upinzani achilia mbali Chadema. Not Trusted
 
Mwalimu aliipeleka nchi hatua nyingi mbele mara baada ya uhuru. Mzee wa Ruksa akairejesha Hatua nyingine nyingi nyuma, Ben Akaishika hatamu napo nchi ikasogea hatua kadhaa tena mbele, Kaingie Mzee wa TABASAMU kali nae karudia ya Mzee ruksa na Sasa Nawashangaa wanaomkingia kifua ZZK kuja kuishika nchi ni wapumbavu wasioona mbele maana Tunahitaji Mtu wa kuipeleka nchi mbele ya hapa na sio mwenye Akili za Mzee Ruksa na Mzee Matabasamu. Najua naeleweka na maanisha nini hapo sio lazima nile ban hapa au kupoteza ID yangu kam ahapo Awali kwa maneno makali ya kupitiliza.
 
Nakubaliana na wengi kuwa umri sio kigezo cha msingi cha kuangalia bali ni uwezo wa mtu. Lakini kwa upande wangu naogopa sana kumpa uongozi mtu mwenye tabia ya unafiki, kujipendekeza na kupenda umaarufu au kutumia umaarufu wake kama njia ya kupata kile anachotaka(Blackmail). You dont have to arrongant only because wewe ni maarufu.
Suala la Uenyekiti au urais linahitaji mtu smart and wise. Tatizo la Zitto anajazwa maneno kuwa we unaweza,ni maarufu bila hata ya kufanya Critical thinking anakurupuka. Hii demokrasia tunayooiiga toka kwa wenzetu haifanywi kiholela. Hata huko kwenye vyama vyao hawakurupuki tu wakataka kugombea uenyekiti au urais. Kuna wazee na watu maalum wanaokaa na kufanya verting na kisha kumshauri mtu au kijana kugombea nafasi fulani, baada ya kuona kuna hitaji hilo. Sisi huku tunataka kwenda ovyo kwa kuvimbishana vichwa tu eti tu kwa sababu tumeambiwa demokrasia. Kwa tabia ya Zitto ilivyo hafai kupewa uenyekiti wa Chama cha upinzani achilia mbali Chadema. Not Trusted

Akhsante mkuu.
 
Juliana Shonza nimegundua ni kwanini vijana A.TOWN walikutatua marinda,inaonekana hujagundu mpaka sasa na unaendeleza yaleyale yaliyokuponza.angalia kheri mchawi kuliko ww fitina 0714 itagombaniwa tena kama yaliyowahi kukuta.
 
jk hajawahi kuwa naibu katibu mkuu wa ccm katika umri wake wote achilia mbali miaka 25! Pia hakupata unaibu waziri akiwa na umri wa miaka33 kwani katika umri huo alikuwa hajawa hata mbunge, amekuwa naibu waziri mwaka 1987 akiwa na miaka 37 hivyo wewe nakuchukulia kama mwongo tu na wtu wakujue hivyo basi

nilikuwa najiuliza kwanini JK anapwaya namna hiyo? . Aksante kwa kunipa jibu
 
Zitto kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA ni sawa na kunywa sumu ya DDT ambayo haitamponyesha kamwe baada ya uchaguzi, wapo wapi akina amani Kabouru? CHADEMA tunaandaa kaburi lake la mwisho wa siasa makini za upinzani Tanzania. Labda akacheze kombolela CCM.
 
Zito n kjana wwa kwel wa demokrasia atak demo ya maneno anataka ya utekeleza kama mbowe anajiamn ata mshnda presha ya nn?
Bas kuwen tu kama ccm semen ktk katba kusiwe na uchaguz wa mwenykt mpka atakapo kufa
 
Nakubaliana na wengi kuwa umri sio kigezo cha msingi cha kuangalia bali ni uwezo wa mtu. Lakini kwa upande wangu naogopa sana kumpa uongozi mtu mwenye tabia ya unafiki, kujipendekeza na kupenda umaarufu au kutumia umaarufu wake kama njia ya kupata kile anachotaka(Blackmail). You dont have to arrongant only because wewe ni maarufu.
Suala la Uenyekiti au urais linahitaji mtu smart and wise. Tatizo la Zitto anajazwa maneno kuwa we unaweza,ni maarufu bila hata ya kufanya Critical thinking anakurupuka. Hii demokrasia tunayooiiga toka kwa wenzetu haifanywi kiholela. Hata huko kwenye vyama vyao hawakurupuki tu wakataka kugombea uenyekiti au urais. Kuna wazee na watu maalum wanaokaa na kufanya verting na kisha kumshauri mtu au kijana kugombea nafasi fulani, baada ya kuona kuna hitaji hilo. Sisi huku tunataka kwenda ovyo kwa kuvimbishana vichwa tu eti tu kwa sababu tumeambiwa demokrasia. Kwa tabia ya Zitto ilivyo hafai kupewa uenyekiti wa Chama cha upinzani achilia mbali Chadema. Not Trusted

Asante mkuu,naunga mkono uliyosema. ZZK ni mbinafsi.
Nakumbuka katika bandiko la utetezi wake juu ya tuhuma kuhusu masalia,aliandika,

"...chama hiki kina damu yangu. Chama hiki kina muda wangu. Chama hiki kina jasho langu..."

Hakuna asiyejua mchango alionao katika CHADEMA ila kusikia akijitaja juu ya muda, jasho na damu ni alama ya ubinafsi mkubwa!

Kumbuka kuwa chadema anayosema ina muda,jasho na damu yake ndiyo iliyompa uwakilishi alionao katika bunge letu hivyo anazo direct benefits kutoka kwa CHADEMA hivyo suala la jasho, muda na damu walau vinalipiwa hata kama ni kidogo...

Wasemeje basi wale wanachama walio na muda,jasho na damu zao katika chadema bila kuwa na direct benefit bali imani kubwa waliyonayo juu ya ukombozi na haki na usawa!?

Wasemeje basi wale ndugu na wategemezi wa watu waliouawa Arusha, Moro,Igunga na kwingineko?!

Halafu akaja na yule makamu mwenyekiti bavicha nae akaigia kwenye mtego huo huo wa kujitaja kibinafsi, yeye aliandika,

"..wilaya nliyotumia nguvu yangu na uwezo wangu mkubwa kukijenga chama kupitia kwa mwenyekiti wa wilaya bwana john mwambigija."

Ubinafsi tu ndio umewajaa! Kudhani kuwa wao ndio waliofanya zaidi na kusahau kuwa wapo walivyo kutokana na juhudi zao na za wengine pia hata kama hawajulikani!
 
Zamani nilikuwa na imani na Zitto lakini tangu niambiwe kuwa ni mwanzilishi wa PM7 ndani ya chama, nimepoteza imani nae.
 
time always will tell, tusubiri muda utafika, kwamba ccm watatumia kila njia kuleta mgogoro ndani ya chama cha democracia na maendeleo ni swala lililo wazi sana halihitaji mjadala , the question is how much strong is chadema of course na nani anatumiwa kama chama ni dhaifu hakitaweza kusimama mbele ya mipango haramu na halali ya kukiangusha.faraja ni kwamba jamaa wa upande wa pili hawana uwezo wa kimkakati wa kuimaliza chadema. hawa ni kina dhaifu,
kina mboye na kina zito nao wasidhani wao ndio chadema peke yao chadema ipo kitaasisi zaidi ya chama cha epa angalia aina ya wafuasi wake, nadhani mboye na zitto watakuwa wenye nia njema na democrasia ya nchi hii kwa sababu kama watakubali kutumiwa na ccm watakuwa wametusaliti watanzania wote, kwa sababu kufa kwa upinzani ni kwa maslahi ya wachache sana wengine mnashangilia tu, watanzania wengi hawana maslahi na kufa kwa chama chochote hata kama hawajui.
kwa hiyo kina zito na kina mbowe mnapaswa kutambua , hakuna ubaya kugombea nafasi yeyote ndani ya chadema au chama kingine chochote , pande zote zinapaswa kuonyesha ukomavu wa kisiasa, na mtu yeyote akitumiwa na maadui wa democrasia kuua chama, historia itamuhukumu
zito jipange mboye jipange jitambueni mkitumika mtafanana na wote waliowahi kutumiwa wala msijidanganye,wapo wapi waliowahi kutumiwa mnajua waliko , mtafanana nao.
kwa sasa wanaowatumia watawashangilia sana wakimaliza mtakuwa kama toilet paper kwao.
nawakilisha
 
Uhuru wa mawazo uheshimiwe, Kibanda songa mbele, Zitto songa mbele, Mbowe songa mbele, CHADEMA kaza mwendo! Tutafika
 
Juliana we mwanamke ebu nyamaza 2mekustili.Au unataka 2mwage hapa uchafu wote?
 
Hahahaaaa awaachie chadema yenu,eeh kumbe chadema ina wenyewe
hichi kicheko ni cha mtu anajejishikiza saloon busy na simu kukumbusha wafadhili wake kuwa sasa ya breafast imefika, saa ya lunch imefika, saa y amsosi wa jioni imefika baada ya kuachika kwa mumewe na kazi kuwa kushney. Kumbe hata wewe huamini kuwa ni mmojawapo ya wenyewe?ulidhani hakina mwenyewe ndio maana ukajiachia hivyo? Utauza bar soon, hadi JK aje kuchomoa huko kam Ray C ktk unga.Niamini kwa hilo.Kama wamekupakata wengi ujue ni maisha tuu ya kupita mjini na huna uwezekano w akupa hata muuza butcher kwa vile huna hata hela ya kumhonga, vitabia vyako vutamfukuza mra tuu baada y akupata ride. Dada upo cheap sana.
 
zitto ana kadi moja atapotezaje imani kwa wananchi?
Moja ipi hiyo mpya ya CCM au ya Chau...nini tena?YA CDM keshapoteza pengine.Na aliyobaki nayo moja ni ya CCM.ALiyodanganywa na JK kuwa atakwenda amua ugomvi katk ya Edo na Membe,kwa kuwakosesha wote, halafu apewe yeye na kuongeza mtaji wa wana CDM.
 
mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe.
madai yako utawin heart yake kipindi hichi cha machungu.Kwa taarifa yako wanaume walipopigwa vibuti na wanawake waliowahi lala nao kwa vigezo vya kutofikia viwango mbalimbalia vya kimahusiano huwa haawaachi fight ili wapate pa kujipa moyo... Zitto ktk list yake ya wanawake wengi hawapo tayari kuzaa naye mtoto kuhofia kupata mtoto wa sura ile.Wengine hawakuweza endelea naye kwa vile ana utoto sana ktk social life yake.Kingine ni kuweka life yake ktk umaarufu wa kisiasa, na kujikuta huo umaarufu umshikia kile kitu kuanzia mapenzi hadi esteem yake.mwisho wake utaishishia kutunza frustrated box, ambalo kila likitoka nje linajikuta kuna mwananke linahisi linahitaji kwenda muonyesh akuwa hajafulia.
 
Wewe ulipataje uongozi mkubwa hivyo ndani ya chama maana umekaa kama dungaembe tu la mitandaon.Hivi na wewe unawadanganya watu una jasho lako katika chama?mimi ni kiongoz ndani ya chama lakin sikufaham.mpiganaji gani wewe?Endelea kung'ang'ana kumtetea ZZK labda unataka KUOLEWA who knows!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom