Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Kikwete amekosa uadilifu, hatuna haja ya kuendelea kuongozwa na viongozi wa namna yake.
AJIUZULU
AJIUZULU
Kibanda sijui nini kilimpeleka habari corporation!
Mkuu Zongwale, nimeipenda sana hiyo kwenye bold!, nimegundua humu jukwaani, ni watu wachache sana wanao uishi ukweli halisi jinsi ulivyo!. Ukiweza kutoa sababu, why it will not happen in 2015, and if there is anything that can be done now to make it happen, please do!. I had the same opinion na nikaweka humu na sababu why it will not happen, niliishia kusakamwa, kutikanwa na kuitwa gamba!.take it from me today, it it will not happen in 2015 but in 2020 tunaona mambo makubwa sana kiasi kwamba uchakachuaji hautakuwa na nafasi tena!!!
<br />kibanda ilikuwaje hukusimama hapa!<br />
ilikuwaje hukubaki absolom yule tuliyekujua<br />
ilikuwaje brother?<br />
zile makala za aina inayotofautiana na mbingu dhidi ya ardhi na makala hii zilianzia wapi?<br />
zilitoka wapi brother?<br />
uliaznaje kibanda kuandika kanusho la makala hii,?<br />
ulipata wapi huo ujasiri ukasahau kuwa jamaa huwa hasahau kitu?<br />
ilikuwaje ukasahahu jamaa ni mtu wa visasi?<br />
ilikuwaje brother?<br />
ilikuwaje ukaamini uko salama kiasi hicho?<br />
dah!<br />
maskini TANZANIA!ipo siku tutakulilia sana nchi yangu?maana bado hatuamini kuwa unajifia taratibu!ikifika hiyo siku ya kutambua kuwa nchi yetu ni marehemu hakika hakuna chozi litakaloacha lisitoke!OLE WANGU hiyo siku nikiwa hai!
Kibanda ni jasiri sana,mimi binafsi nashukuru jamaa bado yuko hai.
Atapona na atarudi mstari wa mbele tu kupambana.
Uhuru wa waandishi hauna kikomo. Siku zote waandishi wanatofautiana kimsimamo na upeo wao pia.
Viongozi wa aina hii akiwa na mkewe utasikia anajigamba na misemo ya aina hii 'And after all,I deserve a little fun',' I couldnt say no'
Tanzania tunaangaliwa kwa umakini sana na UN kutokana na matukio haya ya kugandamiza haki za waandishi.