Kibanda: Kinana ni Kimbunga


Mbona unenda mbali sana mzee wa puumba! Mwambie Dr Slaa ajiuzulu afuate mfano wa aliyekuwa Mkurugenzi wa shirika la ujasusi la Marekani CIA David Patreaus. Au Waziri Silvio Berlusconi.
 
Ndugu Kibanda Absalom UKIIJUA KWELI NAYO KWELI ITAKUWEKA HURU!
 
Mbona unenda mbali sana mzee wa puumba! Mwambie Dr Slaa ajiuzulu afuate mfano wa aliyekuwa Mkurugenzi wa shirika la ujasusi la Marekani CIA David Patreaus. Au Waziri Silvio Berlusconi.

Mbona upo random sana kiakili, probabbility ya wewe kuongea kitu kinachofuata consistently ni zero .Hata hitimisho la vitu unavivianzisha huwa hujui kuwa ni muhimu.Sishangai watu kama nyie ndio kizazi cha CCM , jamii ya dhaifu.Ndio maana hamna malengo ya muda mrefu.Halafu baadaye mnakuja lalamika kuwa wengine walipendelewa kumbe ni nyinyi tuu msio na mawazo yanayoweza kwenda mbali hata kwa second moja baada ya neno kukotoka mdomoni.Ndio maana hamkuona mbalia mlipokimbilia kuchoma makanisha ili uovu unaowaka mioyoyoni mwenu itoke haraka.

Sasa inahusika vitpi na habari uliyodandia ya wasomali?
 
Dah!,Tanzania viongozi wake wamepinda kweli.mafisadi(wahujumu uchumi)ndio imekuwa kimbilio la nchi?Nimesikia leo kkt usomaji wa magazeti kuwa askofu Mokiwa akimsifisia Kinana kwa kusema ni kiongozi alietukuka.
 

Mzee wa puumba umeishakimbilia mambo ya kuchoma makanisa...wewe kizazi ya Chadema ulivyokuwa na akili fupi unadhani Watanzania wote ni mateka wa Chadema. Tanzania haiwezi kutawaliwa na Sheikh wala Padri umenipata.
 
Ukweli ni kwamba tayari kachukuliwa na Rostam Aziz ambaye pamoja na kuiponda CCM bado anaisaidia. Keep your ears on the ground...before long you will confirm this
 
Mzee wa puumba umeishakimbilia mambo ya kuchoma makanisa...wewe kizazi ya Chadema ulivyokuwa na akili fupi unadhani Watanzania wote ni mateka wa Chadema. Tanzania haiwezi kutawaliwa na Sheikh wala Padri umenipata.

hata hujui tena unachoongea.Hembu soma posting 3 za juu halafu ujiulize kama uanchojibu ni sahihi.
 
Niliwahi kushuhudia mtu mmoja tu aliyechaguliwa kuwa mbunge bila kutumia pesa hata senti moja, kwanza hakuwa nazo aliwekwa nafasi hiyo na nguvu ya wananchi huyu alikuwa Ngugu Pharece Kashemeza Kabuye Biharamulo(sasa hivi marehemu) wengine awe wa CDM, CCM, TLP NCCR nk walitoa rushwa 2010 mbona mnaisakama CCM peke yake CCM iliwazidi kete tu lakini ninyi wote wadhambi. mfumo ndo unaleta shida bila kurekebisha mfumo wa tume ya uchaguzi mambo yatakuwa yaleyale 2015
 

Alichosema ni kweli tupu, na hili ni gazeti la CDM lazima maji yamewafika shingoni sasa wameamua bora hadhara ielewe. Hongera Kibanda kwa kuwa mkweli historia itakuenzi daima
 

Point ni Kwamba CCM wanaamini kama asingekuwa Kinana kusimamia Kampeni za Kikwete na kuratibu ushetani wa wizi wa kura bila hofu wala uoga wa namna yoyote ile CCM ingekuwa njia ya KANU hivi sasa sababu uchakachuaji wa kawaida usingemuwezesha mtu yoyote kutangaza kwamba Jakaya kashinda sababu alishindwa vibaya sana.

Pia hili ni tangazo rasmi kwamba CCM wanajiandaa na uchaguzi wa 2015, swali la msingi ni Je wametekeleza kwa kiwango gani ahadi zao za 2010.

At least sasa tumepata mtu wa kumuuliza kuhusu ahadi zao za Mwanzo sababu JK aliishaachana na sisi siku anaapishwa for the second term.
 
Kweli hii nchi inaendeshwa kwa matukio,UVUAJI GWANDA UMEISHIA WAPI??????
 
Alichosema ni kweli tupu, na hili ni gazeti la CDM lazima maji yamewafika shingoni sasa wameamua bora hadhara ielewe. Hongera Kibanda kwa kuwa mkweli historia itakuenzi daima
Ni kweli kama mnavyomuenzi Tambwe Hiza sasa hivi.
 
hiyo misimamo ya waandishi kama Kibanda isiyokuwa na tija kwa maendeleo ya watanzania haitusaidii.bora mngekuwa mnaandika na mnashauri serikali na watendaji wake juu ya UCHUMI na MAENDELEO..Kibanda umekuwa ukipata negative impact hizo kwa sababu tangu uanze kukosoa hujasikilizwa,yaani tangu enzi za mkapa,kikwete na sasa kinana cjui na yupi.namshauri aanzishe chama chake awe anasema vizuri.huwezi ukamponda au kumpa angalizo kikwete wakati unaandikia gazeti la uhuru.hata uwe na uzalendo,ujasiri na umakini wa hali ya juuu kiasi gani manazi hawatakuelewa na misimamo yako
 
hata hujui tena unachoongea.Hembu soma posting 3 za juu halafu ujiulize kama uanchojibu ni sahihi.

Hata sikuelewi anachoandika unaandika kama vile mtoto wa Kindergarten.
 
Mtu kama huyu eti ndio tegemeo la Chadema...ukitaka kujua upumbavu wa mtu upo kiwango gani msome mabandiko yake...wewe jamii ambayo unaiheshimu ni Wachaga tu. Mtu makini hawezi kuandika maneno haya.

wewe siyo mtanzania ... wewe ni msomali
 
Hata sikuelewi anachoandika unaandika kama vile mtoto wa Kindergarten.

Kwani huwa unaelewa kitu siku yoyote?unajua Ritz kuna kipindi unachekesha sana.Usidhani watu kukuzoea na ku ignore your ugly side usidhani kuwa kunaondoa ukweli kuwa ubongo wako haujatumika kabisa.Yaani kwa jinsi ulivyo kituko hata kindergarten kids wanaweza kuon ajinsi ulivyo funny.
 

Its quite an interesting article.Sikuweza changia kwa nilikuwa na thread yangu iliyopotea baada ya mods kuunganisha kwa style iliyofanya nishindwe jua nachangia nini na kilianzia wapi.(Hapa huwa nalia sana na mods kwa kukimbilia unganisha threads wakati haziendani kihivyo ingawa title inaweza kuwa inakaribiana ila goals na approaches ni tofauti sana ukiachilia )

Huyu mwandishi kaanza kuji boast kidogo huku akiacha masalia ya kujisifia ktk utumwa kuwa alikuwa mwajiriwa wa Rostam Aziz.Hiyo pekee ni shida kubwa ya aina yake.Wakati hajatuambia kama Rostam alipochukia yeye alifuat anjia gani, tayari anaonekana kuwa jinamizi linamfuata na kumewekea "guilty consciousness".Anathibitisha kwa kusema kuwa aliposhinda Kikwete sijui kwa kishindo basi akapata akaumbuliwa na kupata aibu kubwa na kuonekana kama mwendawazimu.Naona kweli nimwite mwendawazimu na niendelee mwona kuw ani mwandishi tuu kwa vile anaaccess na media na pia na basic skills za kupangilia maneno kama alivyosoma shule.Huyu mwandishi kwanza ni mtu wa mashaka, pili hajui mambo ya msingi kabisa ktk issues anazoandika au kushabikia.Sioni kwanini anashindwa andika siasa kwa usahihi, ikiwa hatoweza mahali pengine popote zaidi ya siasa na matukio ya kurecord kama unavyoona.Hatoweza andika mambo ya kiuchumi na sayansi kwa kiwango cha kumweka mtu makini ktk hiyo makala.Hapa ndipo napata picture kwa nini magazeti ya Tanzania nia ya hovyo sana.Mhariri anajiona laikosea kwa vile mgombea urais aliyempinga alishinda na si alipokuwa rais Rais kuonyesha uwezo wa kuongoza?Its like Kilaini Kushindwa simamia tamko la maaskofu kuwa Kikwete ni Chaguao la Mungu kwa vile wanaona madudu yake makubwa.

Kikwete atabaki chaguo la Mungu kwa vile Kwanza Mungu ndiye anayeruhusu watu kupata kiongozi , na Pia Kikwete anavyokwenda ni wazi anakwenda angusha CCM, kitu ambacho ndicho watu wamakuwa wakiomba kwa miaka mingi huku wakitumia maneno kama ukombozi.

Mwandishi wa kashindwa elewa kuwa Dr. Slaa anahitaji Lindwa si toka kwa honest critics ila kwa mamluki na hila nyingine za CCM.Hii ni crucial element kwa ukombozi.Mwandishi huyu duni kasahau kuwa uandishi wake na wenzake usio responsible ndio ulipelekea Mrema kujikuta kuwa anayo option ya kuwauza watu bila kuwa na shinikizo toka kwa walio nyuma yake.Mwandishi hajui kuwa wanachama wanahitajia mweka mwanasiasa ktk mazingira ya kujifikiri amara mbili kama ni worth it kubadili njia kwa watu waliojitolea mengi ili wafike mwisho wa barabara.Ni aina ya check anad balance laiyokosa Mrema kwa vile hakuwa na waandishi wenye upeo wa kushape watu in a positive ways wakati waki keep references zao ktk usitawi na ulinzi wa taifa.

Mwandishi kaandika mengi huku akiacha gap ya kuandika makala nyingi zaidi kama laivyoacha kwa habari ya Mkapa.Sijui alidhani kuwa uzoefu wake na pengine nafasi alizowahi pata zinamfanya automatically kuwa mtu makini na mwenye uelewa mkubwa.Sijui atajisikiaje Kinana naye akitoka kama makamba ktk zoezi la liliozoeleka ktk CCM (kubadili betri zinazochagiwa kwa kuanikwa juani).Mwandishi kaanadika kama vile hajui ushindi wa CCM hauna tena maana ktk kuwakilisha mitazamo ya wananchi na hivyo si kipimo cha kukubalika au ufanishi tena.CCM wanatumia kila machinery na dirt games kujishikilia hapo.

Nahofia waandishi kama hawa, ni waandishi wanaofanya watu wa mataifa mengine kutuona kama genetically tumebeba madhaifu haya, wakati wengine ktk majirani zetu wakituona tuu kuwa wajinga wa kawaida.

Hizi ni nafasi adimu kwa watanzania kuwa to ktk public watu wote waliokaa muda mrefu ktk jamii zetu huku wakiwa useless and damaging. Wawe ni wasomi wenye PHDs, wawe ni waandishi na wahariri wa vyombo vikubwa, wawe wanasiasa na wengine maarufu na walioshika nyadhifa ,halafu wakajidanganya kuwa wana uzoefu na heshima isiyoguswa na jamii, na kila waongeacho au wafikiricho ni sahihi.Nadhani CDM ni chama makini kwa hiyo business, Lowasa alionda nyumbani kwakwe kwa Pili Arumeru, mkapa, wasira, na wengine wameshainia ktk hayo machinjio, sasa ni Kinana na wandishi duni kama haw awneue akili mgando huku wakitaka ingiza kalamu zao ktk duni ampya mabayo kuandika si lazima tena kujaza makaratasi, kuonyesha chenti na lobbying nyingine ili uweze andika habari, now people tween, people step in forums like JF.Soon wakizidi tuboa Tanzania itakuwa sehemu ya kwanza ondoa mainstrem papers, na kubakiwa na magazeti kama ya shigongo kwa ajili ya wanafunzi na mabinti wa nyumbani, na akina dada wa saluni.Siku nyingi tuu zaidi ya mwanahalisi sijapata gazeti la kusoma 15mins, yamejaa junks, hawawezi andika zaidi ya kureport kitu kama kilivyo (ten amara nyingine wanandika chini ya walichoona au tofauti).Ktk sehemu ya kufanya analysis wanaonyesha wasiwasi wao, ushsbiki wao, kutojua kwao na mengine ya kipuuzi.
 
Kibanda Absalom again. come on guys give me a break bora nihame jukwaa kuliko kumfuatilia na kumjadili huyu jamaa
 
Huyu jamaa kumbe alishawahi kuitwa kwa Rostamu AKAENDA!! Hajasema aliahidiwa nini labda na akakataa!?

Sijawahi kuona mwandishi mkongwe anaependa kuongelea watu badala ya Hoja, Aibu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…