Kibanda aliteswa na majasusi!

sielewi hizi sympathy za kibanda zinatoka wapi? off course mtu kuteswa siyo kitu kizuri, lakini was this guy a vanguard of good journalism in Tz? NO. no. this is a biased, subjective journalist, who is there for sectional interests of the few (angalia jinsi alivyokua anawashambulia kambi ya Mwakyembe, sitta na kutetea kila kitu cha RA na EL). I dont say he deserved to be tortured, but our sympathy should be measured in relation to truly what Kibanda stand for, what he has done, and who Kibanda is.

kama hatuwezi kua hivyo basi sisi ni taifa la wanafiki, tukiongozwa na viongozi wanafiki wakiwemo hao akina Kibanda na wenzake.
 
hii sympath imetokea wapi?Tena haohao wanaotoa sympath hapa wakati jamaa anahamia Habari corp ndo walikua mbele kumsema na kumtakia mambo mabaya.

Hizi ni siasa,kila oppotunity inayotokea watu wanaangalia itawanufaisha vipi kisiasa.
 
 


nenda kaache uharo wako chooni ndo uje humu jamvini.au Umeolewa na RIZ mwanaume weye?
 
Masuala ya uislamu na ukristu hayahusiki hapa, ishia hapohapo.

sio suala la uislam ama ukristo tunazungumzia kuteswa na watu walio fundishwa na hawa bila shaka ndio wale walio fundishwa kuwatesa wasilam kwa kisingizio cha ugaidi..sasa wakikiosa nyama yao wanakula nyengine..nadhani umeelewa..
kama kukataa askari wetu kufundishwa kutesa basi iwe kwa aina yoyoyte ya jamii..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…