hivi huyu jamaa alitesewa hapo hapo mbele ya nyumba yake au alichukuliwa na kuteswa sehemu nyingine? na picha ya gari yake iliyo vunjwa vioo unaweza kutuwekea.Mkuu hao ni wale wale wanaojua ni kitu gani walifanya kwa hiyo wanakuja hapa ili kupindisha ukweli!!!! Wakati tukijadili ile thread ya kutekwa na kuumizwa kwake nilisema hivi "Adui yako mlete karibu ili ummalize kwa urahisi". Bado nasimamia maneno haya!!! Huwezi kuniambia kuwe leo hii nimekuandika kwa skendo kubwa za kifisadi withh evidence halafu eti nikuache!! Wahusika wana connect the dot!!! Kibanda pia ni mtu wa karibu sana na mwanamtandao wa Chama cha Mauaji na mtu huyo ni tishio kwa Rais ajaye!!!!! tulihofu ataendelea kumjenga kisiasa mtu huyo ili ifikapo 2015 aweze kuwa safi kwa Uhuru Kenyata!!!! Sasa tufanyeje kama si kummaliza!!! Ninaamini walijua wameshamuua!!! Kwa hakika ataendelea kuandika na kuandika na kuandika kwa jicho hilo hilo moja!!! Ila tu nimejifunza kuwa Uandishi wa Habari na Siasa ni hatari sana!! Ila kwa bahati mbaya ndivyo waandishi na wahariri wengi walivyo kwa Tanzania hasa inapokaribia uchaguzi!! Tuwe makini sana!! Jifunzeni toka uchaguzi wa Kenya uliopita walijirekebisha sana tofauti na 2007 ambapo walishabikia sana na mwishowe madhara waliyaona!!
Yaliotokea kwa Kidanda ni 'intimidation' and 'close call to death'. Tunachoshahuri ni kila msomaji wa hii habari ujue 'wewe' pia linakuhusu. The truth ni kwamba kazi za Kibanda na wengine wote (Everest Chahali, Erick Kabendera na hata Dr Ulimboka) ndizo zimewafanya wakawa targets na kujaribu kuwanyamazisha na kuwafunga midomo. Hii article ina links sources muhimu na inatoa sababu za muhimu na muhimu zaidi ni evidences kwanini serikali haiwezi kujikwepa kwa haya.
This is simple, waandishi wanaoandika habari za kushabikia ccm na kutojali upenzi wa Tanzania na wananchi hakuna 'intimidation wala death threats' kwao. Kama wanaofanya huu unyama ni foreign criminals au ujambazi hakuna basis yoyote ku-support this nonsense. Evidences and leads nyingi zinaonekana wazi wala hakuna kuanza kukuna kichwa, au tunahitaji FBI na hatuna wanaoupenda Utanzania.
We're so close and God is about to do wonders in Tanzania.
Tanzania Journalists Under Attack
Journalists in Tanzania are being intimidated by beatings, harassment and death threats. In the latest example, Absalom Kibanda, editor of the newspaper Mtanzania (The Tanzanian), was attacked outside his home and suffered serious head injuries.
He was taken to hospital in Dar-Es-Salaam but the gravity of his injuries may require him to be flown to South Africa for special treatment.
Kibanda, who is chairman of the Tanzania Editors Forum (TEF), is also the managing editor of the Swahile daily Tanzania Daima. The attack is thought to be related to his journalistic work.
TEF secretary general Meena Neville said: "They probably just want silence him through torture and intimidation".
The assault on Kibanda comes weeks after two other disturbing incidents. In the first, Scottish police informed a UK-based Tanzanian journalist, Evarist Chahali, that they had uncovered death threats against him.
In the second, journalist Erick Kabendera has been subjected to episodes of harassment apparently in retaliation for having testified against his former employer, the Tanzanian media mogul, Reginald Mengi, in a UK libel case in November last year.
His home in Tanzania has been burgled three times; officials have interrogated his elderly parents about their right to be Tanzanian citizens; and the couple were also told their son was under scrutiny for selling secrets to European powers.
Kabendera worked for a period in Britain in 2009 on The Times and The Independent through the David Astor journalism awards trust. His case has been highlighted by the former UK high commissioner to Kenya, Sir Edward Clay.
These three instances follow the murder of two journalists in separate incidents in late 2012 - Daud Mwangosi and Issa Ngumba - and last year's closure of the newspaper MwanaHalisi.
Sources: Article 19/African Arguments In Swahili: Raimwena
Tanzanian journalists under attack | Media | guardian.co.uk
Look close to this picture?
Tanzania nchi ya amani na utulivu - give me a break
mi nimeshaogopa hadi kutoa coment hapa naona kama wataniua na mimi.
:rockon:kwani huyo aliyemshika mgonjwa began(wa 2 kushoto) ni nani? mbona anaonekuwa na furaha sana? n kama mtu anafurahia jambo fulani alilokuwa akitamani sana litokee! naomba anaemfahamu anifahamisheYaliotokea kwa Kidanda ni 'intimidation' and 'close call to death'. Tunachoshahuri ni kila msomaji wa hii habari ujue 'wewe' pia linakuhusu. The truth ni kwamba kazi za Kibanda na wengine wote (Everest Chahali, Erick Kabendera na hata Dr Ulimboka) ndizo zimewafanya wakawa targets na kujaribu kuwanyamazisha na kuwafunga midomo. Hii article ina links sources muhimu na inatoa sababu za muhimu na muhimu zaidi ni evidences kwanini serikali haiwezi kujikwepa kwa haya.
This is simple, waandishi wanaoandika habari za kushabikia ccm na kutojali upenzi wa Tanzania na wananchi hakuna 'intimidation wala death threats' kwao. Kama wanaofanya huu unyama ni foreign criminals au ujambazi hakuna basis yoyote ku-support this nonsense. Evidences and leads nyingi zinaonekana wazi wala hakuna kuanza kukuna kichwa, au tunahitaji FBI na hatuna wanaoupenda Utanzania.
We're so close and God is about to do wonders in Tanzania.
Tanzania Journalists Under Attack
Journalists in Tanzania are being intimidated by beatings, harassment and death threats. In the latest example, Absalom Kibanda, editor of the newspaper Mtanzania (The Tanzanian), was attacked outside his home and suffered serious head injuries.
He was taken to hospital in Dar-Es-Salaam but the gravity of his injuries may require him to be flown to South Africa for special treatment.
Kibanda, who is chairman of the Tanzania Editors Forum (TEF), is also the managing editor of the Swahile daily Tanzania Daima. The attack is thought to be related to his journalistic work.
TEF secretary general Meena Neville said: "They probably just want silence him through torture and intimidation".
The assault on Kibanda comes weeks after two other disturbing incidents. In the first, Scottish police informed a UK-based Tanzanian journalist, Evarist Chahali, that they had uncovered death threats against him.
In the second, journalist Erick Kabendera has been subjected to episodes of harassment apparently in retaliation for having testified against his former employer, the Tanzanian media mogul, Reginald Mengi, in a UK libel case in November last year.
His home in Tanzania has been burgled three times; officials have interrogated his elderly parents about their right to be Tanzanian citizens; and the couple were also told their son was under scrutiny for selling secrets to European powers.
Kabendera worked for a period in Britain in 2009 on The Times and The Independent through the David Astor journalism awards trust. His case has been highlighted by the former UK high commissioner to Kenya, Sir Edward Clay.
These three instances follow the murder of two journalists in separate incidents in late 2012 - Daud Mwangosi and Issa Ngumba - and last year's closure of the newspaper MwanaHalisi.
Sources: Article 19/African Arguments In Swahili: Raimwena
Tanzanian journalists under attack | Media | guardian.co.uk
Look close to this picture?
Tanzania nchi ya amani na utulivu - give me a break
Mkuu soma gazeti la Tanzania daima la leo...limeripoti taarifa toka hosipitali huko Afrika kusini, na wamesema ni risasi!
Uwe unanunua magazeti bwana!! tena hilo la miatano tu!
Nimeshangaa sana kwa gazeti la mtanzania kuandika makala km hii, na hili la kibanda liwe funzo hata kwa waandishi wengine kufichua uovu wote unaofanywa na serikali bila woga. Gazeti la mtanzania mwanzoni lilikuwa ni moja ya magazeti yaliyokuwa yanaitetea serikali na kuifichia maovu yaliyokuwa yanatendwa ila naona limeanza kubadilika baada ya mhariri wake kujeruhiwa
ala, kumbe inakuwa hivyo eh, nashukuru sana mwandishi kwa kutufungua akili wengine. tafsiri niliyopata mimi ni kuwa alitakiwa atoe siri anazozifaham kuhusu cdm, na watesaji wakijua kabisa kuwa wenye akili finyu watamhusisha mbowe na uteswaji au uuaji huo ikiwa wangefanikiwa.
enyi wana wa adam, msawatesa na kuwaua wenzenu mpaka lini? ni lazima mfanye hivyo ndio muishi? mbona watu wanaishi tu bila kufanya uovu kama mnaoufanya nyie? katika uovu wenu wote kumbukeni kuwa Mungu yupo, atawahukumu kwa haki, hamjajificha kama mnavyofikiri, jaribuni kuwa na hofu ya Mungu angalao hata kidogo tu. dhamira zenu zimekufa kabisa, mnawaza na kuishi tofauti sana na mategemeo yenu, hamtafika mnakofikiria kuwa mtafikamkabla uovu wenu haujafichuka.
Well said mkuu, ila huyu Kibanda ni msaliti, alimsumbua sana mwajiri wake pale Tanzania daima wakati anatumiwa na habari corporation. Dhambi ya usaliti lazima itakuandama.Ni Kweli tumewaona watekaji wakitamba wakiwa wameachiwa ofisi na KOva Kwa mfano Ahmed Msangi pamoja na kutajwa na Dr Ulimboka,Ramadhani Ignodu Kutajwa na Dr Ulimboka wameongezwa vyeo,Kamhunda anakula bata kwa mrija pale pale Iringa huku mke na watoto wa Mwangosi wakiendelea kulia machozi, hata mkuu wa kaya anadesa tu kusafiri dunia nzima akila kuku kwa mrija udikteta anaofanya kwenye nchi hii akumbuke yeye pia anawatoto hawajafika hata miaka kumi ka maana wana maisha marefu ya kuishi na doa analofanya baba yao
Jenga hoja acha kuleta uharo, dhambi ya usaliti inamuandama Kibanda. Alimsaliti na kumchafua mwajiri wake pale Tanzania daima hakujua dhambi ya usaliti haimuachi mtu salama..! Safari hii ameingia choo cha kike mazima..!Mpuuuuuuuuuuuuuuuuuz
Kwa maoni yangu dhambi ya usaliti wa Kibanda kule Tanzania daima inamuandama, safari hii naona amesaliti wazee wa kazi wakaoana wamtie adabu..! Unaweza kuwa na maoni tofautiUnasemaje?
Mbona un-conclude ya kuwa SSM haijahusika na hiki kipigo? Watu tunatafuta nani alifanya hii mambo halafu unasema SSM inampenda sana..!Dah kweli wewe ni kiboko na ninaamini kweli mmemfanyia kweli!! Iko hadharani sasa!! Kwa hakika akitoka ndiyo atakuwa mstari wa mbeli kwa kutumia kalamu yake!! Andika siku ya leo halafu uje ulinganishe na ninachosema!! Kibanda ataandika makala ya kufa mtu kuhusu tukio na ataendelea kuandika uozo wenu wa kubaka demokrasia!! Kwa nini mnamuogopa mwenzenu mtandao ule wa pili? Na atawakomesha maana SSM wengi wanampenda!!
GAZETI. La tanzania daima limedanganya kwa sababu ripoti. Hiyohiyo imetolewa na magazeti tofauti na haikutaja kuwa jicho limeharibiwa na risasi, kweli hata mtoto mdogo huwezi mda nganya kuwa risasi iharibu jicho tu!! Kazi kwelikweli lakini ndo waandishi wetu hawa na wanajaribu kuupotosha umma ili kupindisha ukweli, lakini wanafahamu ukweli wa mambo na wanalo la kujibu
Nilieleza toka mwanzo katika thread ile kua ni vigumu sana raia wa kawaida ambaye hajawa trained akawiva kwa kazi za ujasusi kufanya haya. Ni makosa makubwa kuhusisha CDM na mambo hizi. ila nokoleze kidogo, isije kua ni miongoni mwa wale maadui 11(sikumbuki vizuri namba kamili) wa Mh wa Mtama ambao jamaa aliapa kuwashughulikia, ndo kaanza nae huyo.
Tutayaona mengi sana kabla ya 2015
mkuu nimekukubali sana ila hawa wahariri na waandishi kuna wakati wanajiingiza sana hatarini kutokana na kujihusisha na hawa mafioso,sasa unakuta yule mafia anampa dili sasa kama mhariri au mwandishi anakuwa na msimamo na wakati huo ameshaijua siri ya mafia huyo kinachotokea ni kumdhibiti sababu kashaijua siri yake.Mkuu hao ni wale wale wanaojua ni kitu gani walifanya kwa hiyo wanakuja hapa ili kupindisha ukweli!!!! Wakati tukijadili ile thread ya kutekwa na kuumizwa kwake nilisema hivi "Adui yako mlete karibu ili ummalize kwa urahisi". Bado nasimamia maneno haya!!! Huwezi kuniambia kuwe leo hii nimekuandika kwa skendo kubwa za kifisadi withh evidence halafu eti nikuache!! Wahusika wana connect the dot!!! Kibanda pia ni mtu wa karibu sana na mwanamtandao wa Chama cha Mauaji na mtu huyo ni tishio kwa Rais ajaye!!!!! tulihofu ataendelea kumjenga kisiasa mtu huyo ili ifikapo 2015 aweze kuwa safi kwa Uhuru Kenyata!!!! Sasa tufanyeje kama si kummaliza!!! Ninaamini walijua wameshamuua!!! Kwa hakika ataendelea kuandika na kuandika na kuandika kwa jicho hilo hilo moja!!! Ila tu nimejifunza kuwa Uandishi wa Habari na Siasa ni hatari sana!! Ila kwa bahati mbaya ndivyo waandishi na wahariri wengi walivyo kwa Tanzania hasa inapokaribia uchaguzi!! Tuwe makini sana!! Jifunzeni toka uchaguzi wa Kenya uliopita walijirekebisha sana tofauti na 2007 ambapo walishabikia sana na mwishowe madhara waliyaona!!